The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,459
- 17,270
Wakuu naomba tujuzane hapa kila mtu anasoma namba gani kwa sasa.
kuokana na hali ya maisha kua ngumu Watu wanasema unaisoma namba.
mimi nimekubali kama ugumu wa maisha ndio kusoma namba basi mimi sasa nasoma namba tasa tu.
Huko uliko unasoma namba gani, witiri, tasa, shufwa, complex numbers, integers, nk. Pia tuambiane njia rahisi ya kuzisoma maana wengine hawakusoma hesabu walikua wakiona tu namba wanakimbia darasa.
kuokana na hali ya maisha kua ngumu Watu wanasema unaisoma namba.
mimi nimekubali kama ugumu wa maisha ndio kusoma namba basi mimi sasa nasoma namba tasa tu.
Huko uliko unasoma namba gani, witiri, tasa, shufwa, complex numbers, integers, nk. Pia tuambiane njia rahisi ya kuzisoma maana wengine hawakusoma hesabu walikua wakiona tu namba wanakimbia darasa.