Kwa nini tangu 2016 mpaka sasa taasisi nyingi zimekua haziajiri tena wamekua wakitoa tu nafasi za volunteer na internship
kwa upande wangu huwa napata tabu sana kuelewa unakuta kampuni limeajiri mtu mmoja tu halafu linaita intern watu zaidi ya wawili hivi tunafika wapi hali inazidi kua mbaya naomba
kwa upande wangu huwa napata tabu sana kuelewa unakuta kampuni limeajiri mtu mmoja tu halafu linaita intern watu zaidi ya wawili hivi tunafika wapi hali inazidi kua mbaya naomba