Naomba tafsiri ya ndoto hii

Karibu mkuu,
Elimu ya kutafsiri ndoto na maono ni kipaji na uwezo ambao mtu anapewa na Mwenyezi Mungu mwenyewe. nimewahi kushindanishwa kufasiri maono na ndoto ya mtu nikaibuka mshindi lakini sikupenda kwa maana haikuwa lengo langu ushindani nilitaka aelewe ni kiasi gani nazielewa ndoto na maana zake na kufasiri ndoto hakuna kitabu wala shule inafundisha bali ni uwezo wa mtu alionao kiroho.

Jibu la swali lako:
Unaweza kuwauliza na kuwaambia chochote na vile wapo katika hali ya kuheshimiana na wewe. jini anapopiga goti na kushika paji lake la uso au anapoinama na kutaka kukushika mguu kama wahindi ni ishara ya salamu ya heshima na upendo maana yake wewe pia ulitakiwa kufanya hivyo hivyo kwao.

Pili wao kukwambia tunataka hivi na vile hawawezi kwa maana hizo ni tabia za mashetani wakimkumba mtu huanza kumwambia tunataka utufanyie hivi na hivi ili tufanye hivi na hivi lakini hao sio mashetani ni viumbe wa kawaida ambao wenzio wanaita roho takatifu/maruhani/mizimu/masters n.k
kwa hiyo furaha ya hao ni kukusaidia na kama sio kukusaidia they mean no harm just friends.

NB:
maneno ya watu wengi na ushaur wa wengi utakupoteza tizama kwa makini ndani ya roho yako inakwambia nini kuhusu wao and that is true maana hakuna jini anaweza kubadili roho ya mtu

Rakims
 
Inasikitisha watu wengi wanaamini kila ndoto unayoota inahusu rangi na majini unatarajiwa kuwa mchawi au mganga.

Low thinkers wana matatizo sana

Rakims
 
Inasikitisha watu wengi wanaamini kila ndoto unayoota inahusu rangi na majini unatarajiwa kuwa mchawi au mganga.

Low thinkers wana matatizo sana

Rakims
Nimerudi tena kusoma hapa! Hii kitu bado inaniandama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…