Nimerudi mara zaid ya tatu ili kukuelewa vizuri! Pamoja na kukuomba nije inbox lakin nina swali hapahapa je ninaweza kuwaomba wajtokeze na waseme wanataka nini badala ya haya kafumbo ambayo siyaelew? Hebu fikiria nisingekutana na wewe ingekuaje?
Kwanini tu yasije yakasema tunataka hivi na hiv?
Naomba nikueleze hapo niliposema wamenisujudia! Ni kweli mie ni mwanamke na nachokumbuka siku ya ndoto ni kuwa walikuja hapa kitandani nilipolala wakapiga magoti wote na mie nawaangalia halaf kila mtu akaweka kiganja chake kwenye paj la uso ishara ya utii halaf wakasujudu wote kwa pamoja halaf wakainua vichwa vyao huku wamepiga yale magot ya sujud wakiniangalia kwa huruma kama ishara ya kuniomba kitu! Hii ndiyo iliniogopesha zaid nikasema mbona kama ni kufuru? Hii siyo roho chafu?
Bahat mbaya ni kuwa nilitembea nikihadithia kila ninayemjua ili angalau anipe mwanga je mimi ni mdhambi kiasi cha kukufuru?
Lakin baadae nilipuuzia mpaka napokutana na andiko lako hapa tena ndiyo naanza kufikiria upya.
Naomba nije pm nikupe maelezo zaid
Rakims