nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Kuna tafsiri zinatofautiana kwenye maneno "Mbunge Aliyemaliza muda wake."
Mfano halisi Mh Andrew Chenge, na Mh Christopher Chegeni ni baadhi tu ya Wabunge wanaoambiwa wamemaliza muda wao. Je kuna sheria inayoelezea kuhusu hilo?
Mfano halisi Mh Andrew Chenge, na Mh Christopher Chegeni ni baadhi tu ya Wabunge wanaoambiwa wamemaliza muda wao. Je kuna sheria inayoelezea kuhusu hilo?