maslulkat
Senior Member
- Feb 17, 2013
- 107
- 32
Wadau ambaye anauzoefu wa Zao hili la VIAZI MVIRINGO tafadhali nisaidie kujibu na kunipatia taarifa zaidi kutokana na maswali yangu nitakayouliza hapa chini, lengo niweze kufahamu nini kinahitajika na nianzie wapi.
1. Baada ya kuandaa shamba, Ni mbegu gani nzuri zaidi?
2. Je, hekari moja inahitaji Mbegu kiasi gani?
3. Je, hekari moja inahitaji Mbolea kiasi gani wakati wa kupanda?
4. Je, ni mbolea gani nzuri sana kwa ustawi bora wa zao la viazi mviringo?
5. Je, viazi mviringo vinahitaji muda gani tena baada ya kuvipanda ili uweze kuweka mbolea nyingine na kupulizia dawa?
6. Je, mbolea hiyo bei yake ipoje?
7. Mbegu nzuri ya viazi bei yake ipoje? Hususani sumbawanga.
Tafadhali nisaidie kupata taarifa hizi au zaidi.
1. Baada ya kuandaa shamba, Ni mbegu gani nzuri zaidi?
2. Je, hekari moja inahitaji Mbegu kiasi gani?
3. Je, hekari moja inahitaji Mbolea kiasi gani wakati wa kupanda?
4. Je, ni mbolea gani nzuri sana kwa ustawi bora wa zao la viazi mviringo?
5. Je, viazi mviringo vinahitaji muda gani tena baada ya kuvipanda ili uweze kuweka mbolea nyingine na kupulizia dawa?
6. Je, mbolea hiyo bei yake ipoje?
7. Mbegu nzuri ya viazi bei yake ipoje? Hususani sumbawanga.
Tafadhali nisaidie kupata taarifa hizi au zaidi.