Naomba sapoti kutoka Serikali kama watakubali

Naomba sapoti kutoka Serikali kama watakubali

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,793
Reaction score
5,042
Mimi ni kijana mdogo tu
Nina technolojia yangu ambayo inaweza kusaidia inchi yangu kama nitapewa nafasi ya kusikilizwa na kupewa sapoti kwa kile ninacho kifanya

Nina uchawi wangu ambao unaweza kutumiwa kupoteza au kuzima au kubadirisha mwelekeo wa kitu chochote kile kama risasi, ndege, gari na vitu vitu vingine sasa nimeona kuliko kusaidia watu wakafanye maovu ni bora ni saidie inchi nimefikiria hivi kweli kitu hiki akiwezi kusaidia nchi yangu kama kujilinda pale tunapo kuwa kwenye vita.

Ndo maana nina omba Serikali yangu kama watakubali ni wape kitu iki
Na sio kuwapa tu wajaribu wenyewe kutumia.

Ikiwa nina danganya wanipige risasi apo apo nife
 
Hapa kwetu hautapiga sana mpunga, nenda nchi kama Urusi, Ukraine,DRC na kwingine kwenye machafuko. Utaingia kwenye matajiri.

Lakini ngoja kwanza, yaani wewe mtu akichukua bunduki akakulenga risasi inamrudia?

Yaani njemba ikija na manati ikakurushia jiwe, wewe unafanya makaveli jiwe linamrudia?
 
Fanya hela za zoote za tozo ziwe zinakata kona kuja nyumbani kwako, halafu mwite Mwigulu aje achukue
 
Mimi ni kijana mdogo tu
Nina technolojia yangu ambayo inaweza kusaidia inchi yangu kama nitapewa nafasi ya kusikilizwa na kupewa sapoti kwa kile ninacho kifanya

Nina uchawi wangu ambao unaweza kutumiwa kupoteza au kuzima au kubadirisha mwelekeo wa kitu chochote kile kama risasi , ndege, gari na vitu vitu vingine sasa nimeona kuliko kusaidia watu wakafanye maovu ni bora ni saidie inchi nimefikiria hivi kweli kitu hiki akiwezi kusaidia inchi yangu kama kujilinda pale tunapo kuwa kwenye vita
Ndo maana nina omba serekali yangu kama watakubali ni wape kitu iki
Na sio kuwapa tu wajaribu wenyewe kutumia
Ikiwa nina danganya wanipige risasi apo apo nife
Maake hapo kwanza ncheke
 
Juzi hapo nigeria mwamba kampiga chuma mdogo wake kisa kwenye kutest new hirizi yenye uwezo wa kuzuia chuma,na wewe una leta habari zako,au bado upo kitandani unaota,oky angalia usije kojolea kitanda.

Hivi mrusi kashavurugwa katuma nyuklia yake af wewe unageuza chuklia kurudi ilipo tokea,au unaipeleka baharini,duuuuh wewe nyoma sanya.
 
Naona nachekwa tu ok asanteni ndugu zangu nilifikiri nitapata sapoti kwenu ili jambo hili tulifikishe serekali ila ninacho vuna na kicheko tu ila ufupi jambo hilo linawezekana tu basi
 
Mimi ni kijana mdogo tu
Nina technolojia yangu ambayo inaweza kusaidia inchi yangu kama nitapewa nafasi ya kusikilizwa na kupewa sapoti kwa kile ninacho kifanya

Nina uchawi wangu ambao unaweza kutumiwa kupoteza au kuzima au kubadirisha mwelekeo wa kitu chochote kile kama risasi , ndege, gari na vitu vitu vingine sasa nimeona kuliko kusaidia watu wakafanye maovu ni bora ni saidie inchi nimefikiria hivi kweli kitu hiki akiwezi kusaidia inchi yangu kama kujilinda pale tunapo kuwa kwenye vita
Ndo maana nina omba serekali yangu kama watakubali ni wape kitu iki
Na sio kuwapa tu wajaribu wenyewe kutumia
Ikiwa nina danganya wanipige risasi apo apo nife
Serekali ndo mdudu gani aisee
 
Fanya ujijaribu record tupia tiktoku youtube insta utapata deals ulaya uko utoboe uzalendo umemshinda Mulamula we utauweza
 
Naona nachekwa tu ok asanteni ndugu zangu nilifikiri nitapata sapoti kwenu ili jambo hili tulifikishe serekali ila ninacho vuna na kicheko tu ila ufupi jambo hilo linawezekana tu basi

Kwani ukivuta bangi lazima uingie humu jukwaani?
 
Mimi ni kijana mdogo tu
Nina technolojia yangu ambayo inaweza kusaidia inchi yangu kama nitapewa nafasi ya kusikilizwa na kupewa sapoti kwa kile ninacho kifanya

Nina uchawi wangu ambao unaweza kutumiwa kupoteza au kuzima au kubadirisha mwelekeo wa kitu chochote kile kama risasi, ndege, gari na vitu vitu vingine sasa nimeona kuliko kusaidia watu wakafanye maovu ni bora ni saidie inchi nimefikiria hivi kweli kitu hiki akiwezi kusaidia nchi yangu kama kujilinda pale tunapo kuwa kwenye vita.

Ndo maana nina omba Serikali yangu kama watakubali ni wape kitu iki
Na sio kuwapa tu wajaribu wenyewe kutumia.

Ikiwa nina danganya wanipige risasi apo apo nife
Dogo utachakazwa Acha masihara
 
Back
Top Bottom