kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Mimi ni kijana mdogo tu
Nina technolojia yangu ambayo inaweza kusaidia inchi yangu kama nitapewa nafasi ya kusikilizwa na kupewa sapoti kwa kile ninacho kifanya
Nina uchawi wangu ambao unaweza kutumiwa kupoteza au kuzima au kubadirisha mwelekeo wa kitu chochote kile kama risasi, ndege, gari na vitu vitu vingine sasa nimeona kuliko kusaidia watu wakafanye maovu ni bora ni saidie inchi nimefikiria hivi kweli kitu hiki akiwezi kusaidia nchi yangu kama kujilinda pale tunapo kuwa kwenye vita.
Ndo maana nina omba Serikali yangu kama watakubali ni wape kitu iki
Na sio kuwapa tu wajaribu wenyewe kutumia.
Ikiwa nina danganya wanipige risasi apo apo nife
Nina technolojia yangu ambayo inaweza kusaidia inchi yangu kama nitapewa nafasi ya kusikilizwa na kupewa sapoti kwa kile ninacho kifanya
Nina uchawi wangu ambao unaweza kutumiwa kupoteza au kuzima au kubadirisha mwelekeo wa kitu chochote kile kama risasi, ndege, gari na vitu vitu vingine sasa nimeona kuliko kusaidia watu wakafanye maovu ni bora ni saidie inchi nimefikiria hivi kweli kitu hiki akiwezi kusaidia nchi yangu kama kujilinda pale tunapo kuwa kwenye vita.
Ndo maana nina omba Serikali yangu kama watakubali ni wape kitu iki
Na sio kuwapa tu wajaribu wenyewe kutumia.
Ikiwa nina danganya wanipige risasi apo apo nife