Naomba ridhaa yA KUKAA janvini.

Ndinani

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
6,938
3,825
Wakuu naomba ruksa yenu nami niwe mmoja kati yenu. Natanguliza shukrani!
 
Wakuu naomba ruksa yenu nami niwe mmoja kati yenu.
Natanguliza shukrani!

karibu sana ujisikie upo nyumbani.....kuna mpendwa mmoja anaitwa ndahani naona kama mnataka kufanana majina hivi....nilizani ni yeye
 
Back
Top Bottom