Biashara za kuuza maji

Biashara za kuuza maji

Eswa

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
253
Reaction score
660
Wakuu kwema.? Anayefahamu biashara hii ya kuuza maji naomba anaifahamishe machache haya:
  • Gharama za ununuzi wa machine (mfumo mzima) wa kuchuja maji.
  • Gharama za ufungaji wa machine hizo
  • -Upatikanaji wa machine hizo.-
  • Gharama za uendeshaji.
  • Faida ikoje.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 

Attachments

  • Screenshot_20260511_195334_Instagram.jpg
    Screenshot_20260511_195334_Instagram.jpg
    313.4 KB · Views: 5
Back
Top Bottom