DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Mimi ni mwanachama wa ccm mwaminifu kabisa.
Tukio la waandishi kupigwa tumelipanga sisi tukiongozwa na katibu wa uvccm wilaya ya monduli Ezekiel Mollel kwa uratibu wa James millya ambae ndio ametoa sh.milioni 4 kunipa mimi na kuwatafuta vijana ambaye kila mmoja nilimpa laki laki kwa kazi hiyo.
Kikao cha kupanga hujuma hiyo ambayo lengo ni kuisingizia chadema tulifanyi Lush Garden kwa Idd alhamisi saa 6 usiku na nikapewa siku tatu kwa utekelezaji zaidi. Millya aliniambia pamoja na Ezekiel kuwa ameagizwa na mzee Sendeka kufanya tukio ambalo kwalo chadema watashutumiwa na kubambikiwa shutuma za fujo kwani ccm wamezidiwa na wamejaribu kila njia zimeshindikana.
NAOMBA RADHI PIA WAANDISHI. NAPENDA MAGEUZI NDO MAANA NIMEJITOKEZA KTK SAFU HII.
Tukio la waandishi kupigwa tumelipanga sisi tukiongozwa na katibu wa uvccm wilaya ya monduli Ezekiel Mollel kwa uratibu wa James millya ambae ndio ametoa sh.milioni 4 kunipa mimi na kuwatafuta vijana ambaye kila mmoja nilimpa laki laki kwa kazi hiyo.
Kikao cha kupanga hujuma hiyo ambayo lengo ni kuisingizia chadema tulifanyi Lush Garden kwa Idd alhamisi saa 6 usiku na nikapewa siku tatu kwa utekelezaji zaidi. Millya aliniambia pamoja na Ezekiel kuwa ameagizwa na mzee Sendeka kufanya tukio ambalo kwalo chadema watashutumiwa na kubambikiwa shutuma za fujo kwani ccm wamezidiwa na wamejaribu kila njia zimeshindikana.
NAOMBA RADHI PIA WAANDISHI. NAPENDA MAGEUZI NDO MAANA NIMEJITOKEZA KTK SAFU HII.