Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

Siyo vibaya kuomba ushauri na kusikiliza then kuamua ni wewe. Ila ogopa sana ushauri usio na vigezo. Kauli kama achana na hiyo gari halafu huambiwi kwa nini ni za hovyo. XT kama unaipenda hivyo nunua, siyo gari mbaya. Kuna gari zina reliability issue, hii si mojawapo. Ila tambua tu gari yoyote yenye turbo especially hizi za miaka ya 2010 kushuka chini zinahitaji kuzingatia service. So kama huna mahitaji ya ziada, engine isiyo na turbo ni bora zaidi.
Escudo nayo gari imara, engine zake ziko simple na kama kawaida, zingatia service. Hazina reliability issue, especially kama utapata J20 na J24 engines
Asante mdau kwa nondo hii asante sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubali mwamba! Mie gari yangu ni 200K+ ila iko njema mno kiasi kwamba huwezi dhani ina hizo kms! Gari ni matunzo tu!
Hiyo ni gari gani Mkuu unamiliki yenye km 200,000.mi nilikutana na pro box imekimbia km 300,000, liteace Noah km 240,000 na Bado iko njema, ukicheki gari Kama Toyota Highlander nyingine ziko kwenye mile 160,000 Hadi mile 200,000. So gari ni matunzo Basi .
 
Hiyo ni gari gani Mkuu unamiliki yenye km 200,000.mi nilikutana na pro box imekimbia km 300,000, liteace Noah km 240,000 na Bado iko njema, ukicheki gari Kama Toyota Highlander nyingine ziko kwenye mile 160,000 Hadi mile 200,000. So gari ni matunzo Basi .

Wachimba chumvi watajulia wapi haya mambo.L/Cruser huko mitandaoni ukizitafuta unakuta zina Km 300,000+ na bei yake haishikiki.

Afu anakuja lofa mmoja anakwambia hio haifai kwa hizo km Itakua imeoza body,inahitaji overhauling na uongo kibao.

Bongo kwa ujuaji ndio kwenyewe hapo.
 
Well. Binafsi napenda magari yenye fewer kms nikiwa nainunua.

Higher mileage ni near disposal.

Anaenunua gari na 50k km anapotential ya kutumia gari yake for the next 200k kms endapo ataitunza vizuri.

Ila mwenye kununua gari yenye 150k km sidhani ana potential ya kuendesha for the next 150k km bila cranks.
Mkuu huko South Africa wanazitumia Toyota Quantum hadi kufikia 999,999 kms na odometer inasimama kusoma lakin bado ukiziona kama mpya.
 
Tehtehteh kumbe ile harrier used uliyonunua kutoka kwa ndg yako hapa hapa bongo ndio unadanganya uliagiza huko mambele?

Acha kuvimba wkt hela huna jo.
Actually sikununua. Nilipewa niwe naitumia.

Na ulivyo boya story za gari ya kwanza ya miaka 100 iliopita unaleta leo?

Kwa taarifa yako tu, ilikuja bongo na 30k km mpaka sasa haijafikisha hata 100k.

Na tangu hapo zineshaingia nyingine.
 
Wakuu jana nimeotumia XT siku nzima ipo vizuri hii gari ukiwasha turbo hakuna boya wa kukusumbua road ipo vzr
 
Ina maana harrier tako la nyani vs subaru forester xt,sh5 ni nani hapo ?

Maana izi forester kiukweli zimekamata soko la Tz ivi sasa zipo nyinginmnoo na zinavutia hasa ukili pimp mguu mkali ukipata enye roof inakuwa chicha
 
Back
Top Bottom