the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,632
- 3,107
Asante mdau kwa nondo hii asante sanaSiyo vibaya kuomba ushauri na kusikiliza then kuamua ni wewe. Ila ogopa sana ushauri usio na vigezo. Kauli kama achana na hiyo gari halafu huambiwi kwa nini ni za hovyo. XT kama unaipenda hivyo nunua, siyo gari mbaya. Kuna gari zina reliability issue, hii si mojawapo. Ila tambua tu gari yoyote yenye turbo especially hizi za miaka ya 2010 kushuka chini zinahitaji kuzingatia service. So kama huna mahitaji ya ziada, engine isiyo na turbo ni bora zaidi.
Escudo nayo gari imara, engine zake ziko simple na kama kawaida, zingatia service. Hazina reliability issue, especially kama utapata J20 na J24 engines
Sent using Jamii Forums mobile app