Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,123
- 42,755
Subaru hamna gari paleHujakutana na Audi mzee ๐ ๐ ๐ tena ile yenye Quattro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subaru hamna gari paleHujakutana na Audi mzee ๐ ๐ ๐ tena ile yenye Quattro
Anaongelea subaru kweli badoSubaru hamna gari pale
sema madere wa Subaru huwa wanajiamini sana kama wanakula cha tarime.. unaweza kuta ana mvimbia mtu mwenye y62.. mzee nipo mlimani cityAnaongelea subaru kweli bado
Aisee nitakucheki hapo mida midasema madere wa Subaru huwa wanajiamini sana kama wanakula cha tarime.. unaweza kuta ana mvimbia mtu mwenye y62.. mzee nipo mlimani city
Harrier iko juu kidogo na hata pimp inanyooka sana kwenye tako la nyani๐Ina maana harrier tako la nyani vs subaru forester xt,sh5 ni nani hapo ?
Maana izi forester kiukweli zimekamata soko la Tz ivi sasa zipo nyinginmnoo na zinavutia hasa ukili pimp mguu mkali ukipata enye roof inakuwa chicha
Hebu nioneshe Subaru yenye ukali kuzidi huu mzee mwenzangu ๐๐๐ when it comes to pimp gameIna maana harrier tako la nyani vs subaru forester xt,sh5 ni nani hapo ?
Maana izi forester kiukweli zimekamata soko la Tz ivi sasa zipo nyinginmnoo na zinavutia hasa ukili pimp mguu mkali ukipata enye roof inakuwa chicha
Nimekuona umechambua vizuri sana extrovert mzee wa kichekoHarrier iko juu kidogo na hata pimp inanyooka sana kwenye tako la nyani๐
Extro huo mguu wa picha ya 3 sio mchezoHebu nioneshe Subaru yenye ukali kuzidi huu mzee mwenzangu ๐๐๐ when it comes to pimp game
View attachment 1882697
View attachment 1882698
View attachment 1882699
View attachment 1882700
View attachment 1882701
View attachment 1882702
Hahahah mzee baba chuma iko sexy sana yani!Extro huo mguu wa picha ya 3 sio mchezo
Hujakutana na Audi mzee tena ile yenye Quattro
All-wheel driveQuattro maana ya si ni 4wd?hii inahusikaje na mbio za road?
sema madere wa Subaru huwa wanajiamini sana kama wanakula cha tarime.. unaweza kuta ana mvimbia mtu mwenye y62.. mzee nipo mlimani city
Dah mkali umetisha, ila hata hii forester Xt uki pimp rims kali inatoka chichaHahahah mzee baba chuma iko sexy sana yani!
Nafikiri ndio maana wabongo hawaachi kuzinunua hizi gari! Ikiwa piruu ukaitia kiatu cha maana 20โ rims waweza hisi dunia ni yako!
Hata Vanguard nayo ikila Vossen za maana 20โ mzee haina kipengele kuna moja nakutanaga nayo sana mataa ya External aisee bakora sio mchezo!
All-wheel drive
MwamnangeKing wa road ya wapi mkuu ?
Unasemaje nduguyangu???๐๐๐๐Opa mzee baba
Una sheliGari nitayonunua baada ya hii.. Haitokuwa chini ya 270HP.. .. hizi sijui148HP na zifanazo na hizo basi tu pesa ndio mnoko,tunakosa utamu mwingi sana..
Legacysubaru zipi zenye 6 cylinder ?
X trail amna kituHili swali wanaliruka sana ila kwa bajet hiyo mbona subaru ndio best..
1. Subaru xt
2. Harrier
3. Vanguard
4. kluger
5. Xtrail