Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

Mimi nilijichanganya nikanunua gari ya cc 3000+ baada ya mwezi tu nikaifungia ndani na kuamua kuirudia ist yangu kwa siku naenda umbali wa mpaka kilometers 60 ama zaidi kwenda kazini, ist haili sana mafuta.
kama uchumi upo vizuri unakuwa na gari mbili tatu hivi.. hata kamoja kenye cc 650
 
Mimi nilijichanganya nikanunua gari ya cc 3000+ baada ya mwezi tu nikaifungia ndani na kuamua kuirudia ist yangu kwa siku naenda umbali wa mpaka kilometers 60 ama zaidi kwenda kazini, ist haili sana mafuta.
man cc3000 mjini unafanya nazo nn? lazima upack tu maana hilo ni jini kunywa mafuta
 
Subaru is good car kama utazingatia regular maintenances za hili gari.. common problems za gari za Subaru ni injni problems zinatokana na kuto badirisha egine oil kwa wakati, pia zinashida ya head gasket ku blow, zina shida ya oil consumption (this is an inherent problem because of engine design(subaru ina boxer injini yaan piston zake zipo horizontal so hakuna effects za natural gravitational force inayo rudisha oil kwenye sample pan pale pistons zinapo move toward crankshaft) pia injini ya subaru inashida ya kivujisha oil kwakua seals za injini zinachoka haraka. Kingine kwenye injini ni tatizo la thermostat.. kibonobongo wengi huondoa hizi thermometer ili kuruhusu maji ya kupoza injini yazunguke bila restrictions na kuavoid overheat

Kwenye suspension systems hii gari inakuja na independent suspensions meaning each wheel is independently attached to car chase hizo itakupa comfort ride kwenye rough road but changamoto ya suspension hizi ni kwamba zina bushings nyingi sana kiasi kwamba zinakua na gharama nyingi ku replace then inakua shida.

Gari inakuja na XT asymmetrical all wheel drive (transmission) system so this is the delicate system though ni tough and seems reliable and dependable kwenye barabara mbAya kiasi cha ku affect tire grip/reaction . So hii asymmetrical inahitaji gari ifungwe tairi zinazolingana pande zote nne unless una affect operations effectiveness.

Gari hii zingatia kuweka recommend transmission fluid ya subaru wenyewe and not otherwise
Asante kwa nondo hii mkuu, kama hutajali nishushie nondo za suzuki new model excudo td54w
 
Baada ya muda wa kupata uzoefu wa magari, nimegundua moyo wangu unasuuzika na Cc 2,500 na zaidi. Pungufu ya hapo najisikia mnyonge sana
 
Back
Top Bottom