DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,433
Vitarra, dualsmala mia achukue Vanguard
Vitarra, dualsmala mia achukue Vanguard
VoxyWakuu VW hio kuna polo na golf ipi kaliView attachment 1763349
View attachment 1763350
View attachment 1763351
View attachment 1763352
View attachment 1763361
Nazielewa sana legacy za kuanzia 2010 ni vyuma kweli vile zile zenye 2.5lLegacy
Mimi nilijichanganya nikanunua gari ya cc 3000+ baada ya mwezi tu nikaifungia ndani na kuamua kuirudia ist yangu kwa siku naenda umbali wa mpaka kilometers 60 ama zaidi kwenda kazini, ist haili sana mafuta.ukinyanyua unitag, tuje tuweke ligi mkuu, na mie nitakuja na Crown Athlete yenye 2GR, CC 3500
kama uchumi upo vizuri unakuwa na gari mbili tatu hivi.. hata kamoja kenye cc 650Mimi nilijichanganya nikanunua gari ya cc 3000+ baada ya mwezi tu nikaifungia ndani na kuamua kuirudia ist yangu kwa siku naenda umbali wa mpaka kilometers 60 ama zaidi kwenda kazini, ist haili sana mafuta.
Huyo mnyama lazima nimmiliki naapa.Naona humu hazungumziagi mwiba wa Mitsubishi RVR aunajuaa forester tu na Rav 4
Wewe jamaa una akili sana aiseekama uchumi upo vizuri unakuwa na gari mbili tatu hivi.. hata kamoja kenye cc 650
man cc3000 mjini unafanya nazo nn? lazima upack tu maana hilo ni jini kunywa mafutaMimi nilijichanganya nikanunua gari ya cc 3000+ baada ya mwezi tu nikaifungia ndani na kuamua kuirudia ist yangu kwa siku naenda umbali wa mpaka kilometers 60 ama zaidi kwenda kazini, ist haili sana mafuta.
ondoa dualis maana nayo ni kichomiVitarra, duals
Huyo jamaa ni mkomavu sana.Wewe jamaa una akili sana aisee
Hatari sana, kuna kipindi namaliza mpaka mwezi bila kulitumia.man cc3000 mjini unafanya nazo nn? lazima upack tu maana hilo ni jini kunywa mafuta
YeahHuyo jamaa ni mkomavu sana.
Kaka hyo engine tu inauzwa karibuni milion 16 used, atapata kwa bei hyo kweli??Chukua Toyota Land Cruiser Series 100 yenye injini ya 1HD-FTE. Ukitulia unapata iliyotumika Bongo kwa million 25.
Mkuu zipo hizo gari Kuna watu wanauza na wengine zimetunzwa vizuri kabisa. Labda kwa wale wanaotaka namba D ndio ngumu kupata maana nyingi za Bei hii ni A/B.Kaka hyo engine tu inauzwa karibuni milion 16 used, atapata kwa bei hyo kweli??
Asante kwa nondo hii mkuu, kama hutajali nishushie nondo za suzuki new model excudo td54wSubaru is good car kama utazingatia regular maintenances za hili gari.. common problems za gari za Subaru ni injni problems zinatokana na kuto badirisha egine oil kwa wakati, pia zinashida ya head gasket ku blow, zina shida ya oil consumption (this is an inherent problem because of engine design(subaru ina boxer injini yaan piston zake zipo horizontal so hakuna effects za natural gravitational force inayo rudisha oil kwenye sample pan pale pistons zinapo move toward crankshaft) pia injini ya subaru inashida ya kivujisha oil kwakua seals za injini zinachoka haraka. Kingine kwenye injini ni tatizo la thermostat.. kibonobongo wengi huondoa hizi thermometer ili kuruhusu maji ya kupoza injini yazunguke bila restrictions na kuavoid overheat
Kwenye suspension systems hii gari inakuja na independent suspensions meaning each wheel is independently attached to car chase hizo itakupa comfort ride kwenye rough road but changamoto ya suspension hizi ni kwamba zina bushings nyingi sana kiasi kwamba zinakua na gharama nyingi ku replace then inakua shida.
Gari inakuja na XT asymmetrical all wheel drive (transmission) system so this is the delicate system though ni tough and seems reliable and dependable kwenye barabara mbAya kiasi cha ku affect tire grip/reaction . So hii asymmetrical inahitaji gari ifungwe tairi zinazolingana pande zote nne unless una affect operations effectiveness.
Gari hii zingatia kuweka recommend transmission fluid ya subaru wenyewe and not otherwise
Ina ukichomi gani mkuu?ondoa dualis maana nayo ni kichomi
unreliable kwa barabara ngumu. japokuwa ipo juu lakin haina uvumilivu wa rav 4 na magari mengineIna ukichomi gani mkuu?
Shukrani mkuuunreliable kwa barabara ngumu. japokuwa ipo juu lakin haina uvumilivu wa rav 4 na magari mengine
Nadhani ni masihara mkuu, unaujua mziki wa bmw m4? yaani mnyama kama m4 umlinganishe na athlete?🤔🤔🤔Braza unataka kummaliza jamaa! Huo moto hata BMW M Series hasogelei 🤓🤓🤓 atasoma logo ya ATHLETE tu