SHEDEDE
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 339
- 551
Ukitaka kujua gari nzuri na mbaya ni ipi fanya hivi:
Nenda kwenye pages za used cars utakuta madalali wanauza gari za hovyo zinauzwa zikiwa mpya namba DT, DR, DV kwa bei chee na gari za maana zinauzwa na namba A au B na ukikuta C bei haishikiki karibu sana na ya kununua jipya.
Ikusaidie hiyo.
Nenda kwenye pages za used cars utakuta madalali wanauza gari za hovyo zinauzwa zikiwa mpya namba DT, DR, DV kwa bei chee na gari za maana zinauzwa na namba A au B na ukikuta C bei haishikiki karibu sana na ya kununua jipya.
Ikusaidie hiyo.