Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,197
- 2,025
- Thread starter
- #21
Hata mi nimetoka shambani nikaandika huu uzi so ondowa shaka kuhusu fiwandahii nchi hadi iwe ya viwanda sio kazi ndogooo...
chura chura.. mzee sumry yupo shambani na mashine za kufa mtu.. wengine wanawaza vyura..