shegaboy
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 213
- 34
Mimi ni muajiriwa katika kampuni fulani hapa mjini. nilipewa mkataba wa miaka minne, ambayo mpaka sasa nimeshatumikia mwaka mmoja na nusu. wanasema kuwa kutokana na matatizo ya fedha wanataka kupunguza watu. je katika kupunguza wanalipa ila kwa sasa hawana fedha hivyo muende mpaka watakapo pata fedha ndio watalipa:
1. mafao
2. likizo zako
3. mishahara unayodai na nyongeza zako za mishahara
Je vipi kuhusu mkataba wangu awalipi chochote kwani mkataba wangu ulikuwa wa kipindi maalumu yaani wenye ukomo hapa sija lielewa.
pia taratibu za kupunguza watu zikoje maana walikuja wao na mwanasheria wao tu. wakatoa baadhi ya sheria na sisi hatujajiunga katika chama chochote cha wafanya kazi.
1. mafao
2. likizo zako
3. mishahara unayodai na nyongeza zako za mishahara
Je vipi kuhusu mkataba wangu awalipi chochote kwani mkataba wangu ulikuwa wa kipindi maalumu yaani wenye ukomo hapa sija lielewa.
pia taratibu za kupunguza watu zikoje maana walikuja wao na mwanasheria wao tu. wakatoa baadhi ya sheria na sisi hatujajiunga katika chama chochote cha wafanya kazi.