Naomba nijibiwe kuhusu uefa

Naomba nijibiwe kuhusu uefa

CHIEF MVUNGI

Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
99
Reaction score
15
nauliza je CHELSEA watapata kucheza uefa hata kama hawatachukua kombe? yaani na maanisha finalist anaweza kucheza uefa atakama aja shika nafasi nzuri kwenye ligi yake
 
Hakuna uwezekano huo hata chembe. Kuingia fainali ni suala moja na kuchukua kombe ni suala jingine. Kwa mujibu wa taratibu za UEFA zilizofanyiwa marekebisho mwaka 2006 liverpool walipokuwa club bingwa ya ulaya na wakati uleule wakishindwa kufuzu kwa michezo hiyo kwa mwaka 2006/2007. Kwa ujumla mabingwa wanaoshindwa kufuzu kwa michezo ya mwaka unaofuata ndio wanaopewa nafasi ya kushiriki.
 
Hawawezi mkuu .
Wakitaka kuua ndege wawili kwa jiwe 1 ni lazima kwanza wabebe kombe na pili ndio watapata nafasi ya kushiriki UEFA kama bingwa mtetezi.
 
Nashukuru kwa taarifa hii, nami pia nilikuwa najiuliza maswali kama haya.
 
Hakuna uwezekano huo hata chembe. Kuingia fainali ni suala moja na kuchukua kombe ni suala jingine. Kwa mujibu wa taratibu za UEFA zilizofanyiwa marekebisho mwaka 2006 liverpool walipokuwa club bingwa ya ulaya na wakati uleule wakishindwa kufuzu kwa michezo hiyo kwa mwaka 2006/2007. Kwa ujumla mabingwa wanaoshindwa kufuzu kwa michezo ya mwaka unaofuata ndio wanaopewa nafasi ya kushiriki.

Spot on.Lakini mwaka huo EPL ilibidi kuingiza timu tano zikiwemo na 4 za juu EPL,lakini safari hii atakayeumia ni wa 4 in case Chelski wakichukua ubingwa na wataanzia mtoano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom