Jaribu uwinga kariakooMim ni Kijana wa kiume , mwenye afya njema elimu yangu kidato Cha sita. Naishi dar es salaam kimara. Nimetafuta sana kazi ila nimekosa ,nilikuwa naomba nafasi ya kazi yoyote ile , na nipo tayari kufanya kazi yoyote ile kwenye mazingira yoyote yale
Shukran kak 🙏Jaribu uwinga kariakoo
Nina ujuzi kwenye maswala ya hotel na tourismTafuta fedha kidogo omba hata kwa ndugu uende VETA upate ujuzi mfn ufundi umeme,uashi ,udereva....nk
Mbona hujaweka kwenye uzi wako pale hapo juuNina ujuzi kwenye maswala ya hotel na tourism
Mim nimemaliza mwaka huu katika chuo kikuu dar es salaam katika fani ya bachelor of commerce in tourism and hospitality management , sijaweka kwa sababu nasubiria matokeo yatoke ndo maana nikaamua niweke elimu yangu ya form six dhumuni kubwa ni kufanya kazi zile zote ambazo haziitaji mtu awe na ujuzi mkubwa customer service, marketing and sales, ulinzi, delivery n.kMbona hujaweka kwenye uzi wako pale hapo juu
Upo smart Sana .Mim nimemaliza mwaka huu katika chuo kikuu dar es salaam katika fani ya bachelor of commerce in tourism and hospitality management , sijaweka kwa sababu nasubiria matokeo yatoke ndo maana nikaamua niweke elimu yangu ya form six dhumuni kubwa ni kufanya kazi zile zote ambazo haziitaji mtu awe na ujuzi mkubwa customer service, marketing and sales, ulinzi, delivery n.k
Mcheki huyu Jamaa whatsapp 0628731833.. Anatafuta vijana wa kubandika mabango ya matangazo. Nafikiri ni mchongo wa tempo tu lakini sio mbaya angalao ukawa bize bize.Mim nimemaliza mwaka huu katika chuo kikuu dar es salaam katika fani ya bachelor of commerce in tourism and hospitality management , sijaweka kwa sababu nasubiria matokeo yatoke ndo maana nikaamua niweke elimu yangu ya form six dhumuni kubwa ni kufanya kazi zile zote ambazo haziitaji mtu awe na ujuzi mkubwa customer service, marketing and sales, ulinzi, delivery n.k
Asante Sana 🙏Upo smart Sana .
Nashukuru sana , Nitafanya hivyoMcheki huyu Jamaa whatsapp 0628731833.. Anatafuta vijana wa kubandika mabango ya matangazo. Nafikiri ni mchongo wa tempo tu lakini sio mbaya angalao ukawa bize bize.
Al
Nipo tayariAll the time
Nashukuru 🙏 Mrs noneKila la kheri
Kazi ya shamba unaweza?Mim ni Kijana wa kiume , mwenye afya njema elimu yangu kidato Cha sita. Naishi dar es salaam kimara. Nimetafuta sana kazi ila nimekosa ,nilikuwa naomba nafasi ya kazi yoyote ile , na nipo tayari kufanya kazi yoyote ile kwenye mazingira yoyote yale
Kaka mim naweza kazi ya shamba 100%Kazi ya shamba unaweza?
That is my nigga.Mcheki huyu Jamaa whatsapp 0628731833.. Anatafuta vijana wa kubandika mabango ya matangazo. Nafikiri ni mchongo wa tempo tu lakini sio mbaya angalao ukawa bize bize.