Nina wazo la kufungua saluni ya kiume, lakini sijui mashine ya kunyoa ni bei gani,kiti na kioo, kuhusu redio nitanunua sabufa, naombeni mawazo ndugu zangu na bado kijana atakaye kuwa kinyozi huwa analipwaje? sharing is caring sitaki kukurupuka.
Weka zoteUnataka saloon ya aina gani? ya kisela tu au barbershop kabisa?
Salon ya kisela tuu
Sawa! Apo utahitaji viti viwili Tzs 320,000
Utahitaji kodi ya frame (gharama inategemea na upo wapi)
Frame kama haina mlango wa vioo na unauhitaji andaa Tzs 550,000 pamoja na stickers zake Tzs 35,000.
Utahitaji vioo viwili(at least kwa kuanzia cha mbele na nyuma) Tzs 200,000
Kitu cha kukalia wateja Tzs 150,000
Kabati Tzs 100,000
Machine nzuri na imara ni Homecut na Wahl Tzs 130,000 moja.. zipo za Tzs 80,000(wahl) pia sio mbaya! utahitaji mbili
Vikolokolo vingine kama mataulo,powder,spirit etc unaeza andaa Tzs 45,000
Pia ongeza na gharama za radio au Tv au vyote
Jumla ni kama Tzs 1,400,000 ukiongeza na kodi inaweza fika Tzs 1,700,000.
Wabeja sana ngoshaSawa! Apo utahitaji viti viwili Tzs 320,000
Utahitaji kodi ya frame (gharama inategemea na upo wapi)
Frame kama haina mlango wa vioo na unauhitaji andaa Tzs 550,000 pamoja na stickers zake Tzs 35,000.
Utahitaji vioo viwili(at least kwa kuanzia cha mbele na nyuma) Tzs 200,000
Kitu cha kukalia wateja Tzs 150,000
Kabati Tzs 100,000
Machine nzuri na imara ni Homecut na Wahl Tzs 130,000 moja.. zipo za Tzs 80,000(wahl) pia sio mbaya! utahitaji mbili
Vikolokolo vingine kama mataulo,powder,spirit etc unaeza andaa Tzs 45,000
Pia ongeza na gharama za radio au Tv au vyote!
Jumla ni kama Tzs 1,400,000 ukiongeza na kodi inaweza fika Tzs 1,700,000.
Nina wazo la kufungua saluni ya kiume, lakini sijui mashine ya kunyoa ni bei gani,kiti na kioo, kuhusu redio nitanunua sabufa, naombeni mawazo ndugu zangu na bado kijana atakaye kuwa kinyozi huwa analipwaje? sharing is caring sitaki kukurupuka.
Njema sana hiiMalipo kwa kijana unaweza kubaliana kwa namna mbili, awe anakupa hela kwa siku au week (mfano 35K kila week).
Mnaweza pia kubaliana wewe ndio uwe unampa mshahara kwa mwezi (labda 200k), hii ni ngumu maana utahitaji kuwepo au kuwa na msimamizi golini.
Pia ili kummotivate kijana unaweza mpa ata week moja ya free road, asikulipe kitu ila na wewe uwepo kufatilia biashara inavokwenda kabla hujampangia gharama ya yeye kukulipa.
Njema sana hii
Mi mwenyew msomaji tu sina hata spritndugu yangu mi naombaa vitu vya berbershop plsee
Asante sana! Kama ni Barbershop inakuwaje?Sawa! Apo utahitaji viti viwili Tzs 320,000
Utahitaji kodi ya frame (gharama inategemea na upo wapi)
Frame kama haina mlango wa vioo na unauhitaji andaa Tzs 550,000 pamoja na stickers zake Tzs 35,000.
Utahitaji vioo viwili(at least kwa kuanzia cha mbele na nyuma) Tzs 200,000
Kitu cha kukalia wateja Tzs 150,000
Kabati Tzs 100,000
Machine nzuri na imara ni Homecut na Wahl Tzs 130,000 moja.. zipo za Tzs 80,000(wahl) pia sio mbaya! utahitaji mbili
Vikolokolo vingine kama mataulo,powder,spirit etc unaeza andaa Tzs 45,000
Pia ongeza na gharama za radio au Tv au vyote!
Jumla ni kama Tzs 1,400,000 ukiongeza na kodi inaweza fika Tzs 1,700,000.
Link #1: Naomba mwenye uzoefu na vifaa vya saluni ya kiumebiashara hii ya saloon ya kiume kuanzia