Naomba muongozo kuhusu App

Habari zenu wana jamvi naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kuanzisha APP ya wafanya biashara kama vile kupatana.com naomba kujua jinsi ya kuendesha hiyo app na pia naomba kujua ni faida gani mmiliki atazipata na ni njia zipi ambazo mmiliki anatakiwa azitumie ili kujipatia faida kupitia hiyo app yake na pia ningependa kujua kama kuna umuhimu wa kufungua ofisi.

Wajuzi wa haya mambo naombeni msaada wenu wakuu


Yani hujataka kujihangaisha hata kidogo, strange.... Huna cha kujifunza hapa, quote my words
 
Back
Top Bottom