Pilocarpine
Member
- Jan 28, 2018
- 27
- 27
Poleni na majukumu wakubwa.
Ngoja niende straight foward kwenye lengo la kufungua huu uzi.
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kuweza kunikopesha 350K,anisaidie,nitaacha cheti changu original cha form IV,kwa sababu sina dhamana ya kubwa zaidi ya hii,na nitailipa hii fedha kuanzia mwezi wa nne mwanzoni na kuimalizia mwezi wa tano.
Nahitaji kumalizia kulipa ada ili niweze kufanya mtihani wa UE.
Kuna uzi nilifungua kuhusu condition yangu kwa sasa unaweza ukausoma ili uweze kujua kwa nini nimefikia huku.
Ngoja niende straight foward kwenye lengo la kufungua huu uzi.
Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kuweza kunikopesha 350K,anisaidie,nitaacha cheti changu original cha form IV,kwa sababu sina dhamana ya kubwa zaidi ya hii,na nitailipa hii fedha kuanzia mwezi wa nne mwanzoni na kuimalizia mwezi wa tano.
Nahitaji kumalizia kulipa ada ili niweze kufanya mtihani wa UE.
Kuna uzi nilifungua kuhusu condition yangu kwa sasa unaweza ukausoma ili uweze kujua kwa nini nimefikia huku.