baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 549
- 1,791
Habari za asbuh wakuu!
Nahitaji msaada wa hili suala, tatizo nivkwamba nikiwa naingia zangu mwezini period inakuwa ni nzito sana yaani inakuwa kama imeganda ganda halafu ni nyeusi mno.
KILA nikienda hospitali napewa dawa hali inakuwa ni ile ile tu kama kuna hospital nimeenda juzi ndio kabisa nikapewa dawa za uzazi wa mpango.
Angalizo mimba sijawai kutoa.
Mwenye kujua dawa anisaidie tafadhari
Nahitaji msaada wa hili suala, tatizo nivkwamba nikiwa naingia zangu mwezini period inakuwa ni nzito sana yaani inakuwa kama imeganda ganda halafu ni nyeusi mno.
KILA nikienda hospitali napewa dawa hali inakuwa ni ile ile tu kama kuna hospital nimeenda juzi ndio kabisa nikapewa dawa za uzazi wa mpango.
Angalizo mimba sijawai kutoa.
Mwenye kujua dawa anisaidie tafadhari