baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 549
- 1,792
- Thread starter
- #41
Huwezi AMINI mkuu ndio nilipewa dawa hizo hospital flan hapa mjini na sikuzinywa maana nilivyo pewa nikapokea tu kufika nyumban ndio nikakutana na hayoHapo kwenye kupewa dawa za mpango wa uzazi wakati tatizo ni rangi ya damu kwa kweli wewe na doctor mmetupiga.