Naomba msaada wa ramani ya nyumba, au mchoraji anakaribishwa

Naomba msaada wa ramani ya nyumba, au mchoraji anakaribishwa

EXPULSION

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2015
Posts
407
Reaction score
303
Ukubwa wa viwanja

Kiwanja cha kwanza
20*23- vyumba vya kupangisha, mchanganyiko, single na chumba na sebule

Kiwanja cha pili
Urefu 31m
Upana 17.5m

Nyumba moja ya kuishi yenye ghorofa moja

Naomba kuwasilisha
 
Serikali ingepiga marufuku upimaji wa viwanja ukubwa huo..tunaongeza skwata zisizo na maana
Kimoja ni kiwanja cha serikali, kingine sio cha serikali. Kwa maana hiyo washauri serikali kwanza waache kupima viwanja vya saizi hiyo
 
Back
Top Bottom