Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,113
- 110,869
Alafu kijana acha uzembe, ebu amka alfajiri nenda pale stendi ya CDT kagombanie abiria, ukipata abiria mmoja ukampeleka kwenye gari uhakika unachaki, kahama bado washamba ni wengi.
Nenda nje ya mji tafuta kazi za saidia fundi kwenye ujezi, kahama ni mji unao jengeka kwa kasi sana.
Nenda kule manzese kwenye soko la mbao katafute kazi zipo nyingi kwenye viwanda vya mbao na hata kushusha na kupakia mbao.
Ukweli ni kwamba kahama haitaki kuzubaa utakufa njaa wakati fursa bado zipo nyingi
Nenda nje ya mji tafuta kazi za saidia fundi kwenye ujezi, kahama ni mji unao jengeka kwa kasi sana.
Nenda kule manzese kwenye soko la mbao katafute kazi zipo nyingi kwenye viwanda vya mbao na hata kushusha na kupakia mbao.
Ukweli ni kwamba kahama haitaki kuzubaa utakufa njaa wakati fursa bado zipo nyingi