Naomba msaada wa nafasi ya kazi

Naomba msaada wa nafasi ya kazi

Najua unachokipitia mkuu.

ANZA na vitu kama.
mfano kuchoma mahindi, kuuza mishikaki, kuuza mkaa. Kutafta KAZI migahawani kama kumenya viazi ulaya kahama kuna restaurant nyingi ingia mojawapo utapata.
Kahama Bado wanavuna saivi jiingize shambani ukapige Kaz.

Njoo hapa KOGIFA Kuna sheli inajengwa tupige KAZI mkabala na Msalabani kama unaenda parokia ya MBULU asbh wahi Mimi pia nakomaa na makazi magum mkuu

Mavyeti skuiz hayana KAZI nikama urembo tu.
 
Back
Top Bottom