Naomba msaada wa kutimiza lengo hili

chakapoteza

New Member
Jan 24, 2020
2
3
Ndugu zangu, mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na naelekea kumaliza chuo ifkapo mwezi wa 7 mwaka huu 2020.

Nina mawazo kichwani mwangu huku likiwa wazo kuu ni kwenda kutatua changamoto ya elimu katika mazingira yanayonizunguka kwa ndugu zangu wajao, namaanisha watoto wote wa hayo mazingira, ila nashindwa nianzaje kufikia hilo lengo.

Naamini hapa ni sehemu salama kuna watu wamenizidi elimu, na wengine wamenizidi mawazo pia hivyo ninaweza kupata msaada mzuri sana wa mawazo kutoka kwenu.
 
Changamoto za elimu ni nyingi sana, sijui ww unataka kuanza na changamoto ipi. Pia sijui unaongelea elimu ipi? moja ya changamoto inayowakabiri wanafunzi hasa wale wa Dsm ni usafiri, ww km msomi kaa chini uweze kutafakari Kisha uje na suluhisho la utatuzi wa hiyo changamoto, nafikiri hapo elimu yako utakuwa umeitumia vyema katika jamii yako.
 
Changamoto za elimu ni nyingi sana, sijui ww unataka kuanza na changamoto ipi. Pia sijui unaongelea elimu ipi? moja ya changamoto inayowakabiri wanafunzi hasa wale wa Dsm ni usafiri, ww km msomi kaa chini uweze kutafakari Kisha uje na suluhisho la utatuzi wa hiyo changamoto, nafikiri hapo elimu yako utakuwa umeitumia vyema katika jamii yako.
 
nili
Hebu weka sawa unahitaji msaada upi, kutatua changamoto za kielimu kivupi??

Unataka kuanzisha shule au programs za kielimu kama tuition centres?

Jazia hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
nilikuwa nafikira malengo tofauti tofauti kwa ufupi sina changamoto kwenye elimu ila changamoto kwamba nitafanya nini nikimaliza chuo kikuu ndipo nikawa nawaza nianzishe pengine kituo cha tuition, nifungue open school ambayo itajumuisha QT, Resiters na tuition center, lakini sijajua hatua zake na eneo liwe vipi na nitapataje msaada wa kufungua hicho kituo cha open school mana nina wazo lakini mtaji sina na hicho kitu huku kwetu hakipo hivyo nikaona ni fursa mzuri ya kusaidia ndugu zangu na kujikwamua na changamoto ya ajira. hivyo kwa anayefahamu hatua zake na kivipi naweza pata msaada anipe mawazo yake tafadhari
 
Washkaji zangu mlioko vyuoni, mnatuangusha sana wanangu unajua nyie mmepata nafasi ya kwenda vyuoni mnatuwakilisha na sisi tulioko kitaa ambao hatujapata nafasi kama hiyo!. Sasa mkuu umeenda chuoni na mwezi wa saba unamaliza na hata kujieleza kwenyewe tu ni shida, utaweza kutatua changamoto zetu kweli huku mtaani? Anyway kila la heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washkaji zangu mlioko vyuoni, mnatuangusha sana wanangu unajua nyie mmepata nafasi ya kwenda vyuoni mnatuwakilisha na sisi tulioko kitaa ambao hatujapata nafasi kama hiyo!. Sasa mkuu umeenda chuoni na mwezi wa saba unamaliza na hata kujieleza kwenyewe tu ni shida, utaweza kutatua changamoto zetu kweli huku mtaani? Anyway kila la heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hukupata nafasi yakwenda chuoni, hukupelekwa darasa la kwanza na mzazi ??

Portfolio | 2020
 
Kaa chini nauandika huo mpango wako, kukosa mtaji haimaanishi ndio kutimiza lengo lako. Unaweza shirikiana nawatu wako wakaribu/Unaosoma nao mkaunda group nakuanza kufanya tafifi hizo changamoto naambayo mtaipa kipaumbele zaidi ndio mtaanza as a group.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom