NGERESHAA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,237
- 1,669
Wapedwa naomba msaada wa kujiondoa Deshmax, kuna mtu alinielekeza kujiunga ili nipate sms za mtu niliyetaka kumfuatilia.
Ndani ya wiki mbili hizi wameshanikata 60,000 Tigo Pesa yaani wanakata 30,000 sijui baada ya mda gani
Hata huduma yenyewe sipati wanachukua tu hela ya Bure.
Naomba anayejua namna ya kujiondoa au ikishindikana nikatoe hela yangu nitupe line.
Ndani ya wiki mbili hizi wameshanikata 60,000 Tigo Pesa yaani wanakata 30,000 sijui baada ya mda gani
Hata huduma yenyewe sipati wanachukua tu hela ya Bure.
Naomba anayejua namna ya kujiondoa au ikishindikana nikatoe hela yangu nitupe line.