NGERESHAA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,237
- 1,669
Wapedwa Kuna mtu aliniunga na huduma ya kupata sms za mtu bila yeye kujua mwisho wa siku ikauganishwa na A/c yangu ya Tigo pesa ndani ya wiki mbili washakomba elfu 60,000.
Na huduma au sms za niliyetaka kumchunguza sipati
Naomba mwenye kujua namana ya kujiondoa aua ta nikamilishe huduma yaani nipate nilichokuwa nahitaji
Na huduma au sms za niliyetaka kumchunguza sipati
Naomba mwenye kujua namana ya kujiondoa aua ta nikamilishe huduma yaani nipate nilichokuwa nahitaji