Naomba msaada wa kuhusu unit za umeme ghetto kwangu

Mimi nina fridge linawaka 24/7,nina jiko la umeme energsaver kila siku lazima lipike likisaidisna na gass mf kuchmsa maji ya kuoga, maharage nk, nina pasi ya umeme kila siku lazima itumike, nina security taa kama 8, nina tv, matumizi yangu ndo kati ya tsh. 7000 na 9000, maana nikinunua umm wa 9000 huwa natumia kati ya 30 -40 days dijaiba umeme na kila kitu kipo fresh. Nyumba ni yangu naishi mwrnyewe
Dah....enzi za Kikwete ndiyo mliitwa viwanda vya uongo 🤣🤣🤣🤭
 
35- haina button na ina mfumo km mita ya maji
100 - ina button kwahiyo utajaza token kwenye mita yako kwahiyo mita kuu ya Tanesco itapokea.
Mita yako itasoma Unit, kwa mfano umenunua umeme buku 5, mita yako itasoma unit 14, itaanza kuhesabu kushuka chini. Ikifika 0 inakata. Hairuhusu umeme mpk ujaze token tena (wengine wataongezea nyama)
Kuna uzi humu ushaelezewa kuhusu hizo sub meter zote 2
Hiyo ya laki 1 ikoje?! Weka picha.
 
35- haina button na ina mfumo km mita ya maji
100 - ina button kwahiyo utajaza token kwenye mita yako kwahiyo mita kuu ya Tanesco itapokea.
Mita yako itasoma Unit, kwa mfano umenunua umeme buku 5, mita yako itasoma unit 14, itaanza kuhesabu kushuka chini. Ikifika 0 inakata. Hairuhusu umeme mpk ujaze token tena (wengine wataongezea nyama)
Kuna uzi humu ushaelezewa kuhusu hizo sub meter zote 2
Niko interested na hiyo mita
 
Mimi nina fridge linawaka 24/7,nina jiko la umeme energsaver kila siku lazima lipike likisaidisna na gass mf kuchmsa maji ya kuoga, maharage nk, nina pasi ya umeme kila siku lazima itumike, nina security taa kama 8, nina tv, matumizi yangu ndo kati ya tsh. 7000 na 9000, maana nikinunua umm wa 9000 huwa natumia kati ya 30 -40 days dijaiba umeme na kila kitu kipo fresh. Nyumba ni yangu naishi mwrnyewe
Fiksi nyingine hazijaenda shule kabisa yani
 
35- haina button na ina mfumo km mita ya maji
100 - ina button kwahiyo utajaza token kwenye mita yako kwahiyo mita kuu ya Tanesco itapokea.
Mita yako itasoma Unit, kwa mfano umenunua umeme buku 5, mita yako itasoma unit 14, itaanza kuhesabu kushuka chini. Ikifika 0 inakata. Hairuhusu umeme mpk ujaze token tena (wengine wataongezea nyama)
Kuna uzi humu ushaelezewa kuhusu hizo sub meter zote 2
Naomba link mkuu
 
Mbona halitumii umeme mwingi mkuu
Kutumia umeme mwingi au sio mwingi ni jambo linalohotaji hesabu sio kuongea tu

Heater ya aina hiyo ina 1500watts (1.5kw)
Hiyo ni sawa na matumizi ya unit 1.5 kwa saa

Sasa kama bado amesema anatumia pasi na matumizi mengine halafu amenunua unit 20 tu kwa mwezi, hapo tunahitaji hesabu tu
 
Mimi nina fridge linawaka 24/7,nina jiko la umeme energsaver kila siku lazima lipike likisaidisna na gass mf kuchmsa maji ya kuoga, maharage nk, nina pasi ya umeme kila siku lazima itumike, nina security taa kama 8, nina tv, matumizi yangu ndo kati ya tsh. 7000 na 9000, maana nikinunua umm wa 9000 huwa natumia kati ya 30 -40 days dijaiba umeme na kila kitu kipo fresh. Nyumba ni yangu naishi mwrnyewe
Hapa nakubaliana kukataa mpaka utakapothibitisha
Asset nyingi.
1. Fridge kubwa - Watts?
2. Pasi
3. Tv
4. Home thieta
5. Blenda
6. Microwave
7. Taa 9 - Watts?
8. Water dispensa - Watts?
9. Jug
10. Rice cooker
11. Fan ziko 4 - Watts?

Hapo nmejitahid sana aseee kwa 30k. - 84Units

matumizi halisi ya vifaa tajwa. Kama uko mwenyewe, ni mwanaume, kuna uwezekano kuna vifaa havitumiki hata wiki mbili mfululizo, hivyo wingi wa hivi vitu sio matumizi ya umeme.

Kuna mtu ana TV ya 180W(4), taa za nje za 90W(12hrs), Laptop ya 80W(2hrs). Huyu kwa matumizi yake, ukiyaweka kwenye bei ya umeme, bila sh 21,000 haiwezekani kumaliza mwezi kama hayuko kwenye ile Tariff ndogo, kinyume na hapo, Tariff ndogo anapata unit 75 kwa 10,000 tu na itamtosha.
 
Naandika kwa experience. Nina jagi la umeme. Jagi la umeme halili umeme kbsa. Ukichemsha hata unit 0.2 hazifiki.
Hapa wana matumizi makubwa sana ya umeme. Huwa sisishindi geto. Natoka saa 1 na nusu asubuhi na kurudi saa 1 au saa 2 usiku.
Kibembe kwa mwezi nilikua nalipa 20,000. Baada ya siku 7 au 8 wanaomba hela ya umeme.
Nikafunga submeter. Tangu tarehe 4 mwezi wa 10 leo nimelipa 5,000 na jagi kila siku nalitumia.
dagh hii thread imenifanya niwe mpole maana nalipia kila mwezi 20k ya umeme kumbe napigwa hivi *****
 

Attachments

  • 20.jpeg
    20.jpeg
    65.1 KB · Views: 17
  • 100000.jpg
    100000.jpg
    17.1 KB · Views: 17
Habari! Poleni kwa kazi

Naomba mnisaidie kuhusu unit za umeme.Je n hak kulipa 7000 kwa units 20? Nmetumia kwa muda wa mwez 1 na wiki kama 1.Mchana huwa cshind ghetto.

Natumia pas ya umeme kwa nadra,nna taa 3 "zitumiazo umeme kidogo"japo huwa czm 1 uck , LED TV na jag la kuchemshia maj maana naweza kuchemshia maj ×2 kwa cku.Je n haki kulipa 7000 kwa ma2miz haya?

Ni sawa maana ilo jagi la umeme ndio linakula sana embu angalia ni watts ngapi ilo
 
Yes! Zipo tofauti na bei ni tofauti.
Hiyo ambayo haina button ni 35k
Hiyo ambayo ina button ni 100k
Utachagua inayokufaa ndiyo maana nimeweka mbili. Ila km una hela, nunua hiyo ya 100k. Utakuwa unajaza umeme mwenyewe kwenye submeter, ukiisha itajizima.
Mbona ziko tofauti!?
 
Yes! Zipo tofauti na bei ni tofauti.
Hiyo ambayo haina button ni 35k
Hiyo ambayo ina button ni 100k
Utachagua inayokufaa ndiyo maana nimeweka mbili. Ila km una hela, nunua hiyo ya 100k. Utakuwa unajaza umeme mwenyewe kwenye submeter, ukiisha itajizima.
Mkuu hizo za button zipo na za three phases
 
Back
Top Bottom