Naomba msaada wa kufika bungeni

Tanzania haina bunge, lile ni kundi la makada wa CCM waliojipa madaraka kwa damu na bunduki October 29.

Wewe ni kijana mdogo jiepushe kuungana na wauaji.
 
Kama unataka kwenda kuona jengo la bunge (kutembelea eneo la bunge) ni sawa, kesho napita Dar usiku nikitokea Kusini, ninaweza kukupa lifti, ila kama unaenda kuona utungaji wa sheria na uwakilishi, hilo nakushauri uachane nalo na sitakusaidia, kwani kwa sasa hatuna bunge (hatuna wawakilishi wa wananchi wala hatuna watunga sheria)..
 
Naunga mkono hoja miaka 21, joined 2019 ina maana alijiunga JF akiwa na miaka 15?, alafu huu uziumepangiliwa vizuri hivi hamna (xaxa), nukta zimekaa mahala pake.
Huyu anatuchora sio bure
Mimi nina mjukuu yupo grade 7 anatumia Jamii Forum kama guest tangu akiwa grade 5.
 
Tafuta shamba ulime... Utanishukuru!
 
Kusoma na kuelewa limekuwa janga la kitaifa siku hizi.

Wabunge wote wana Ofisi majimboni na kunakuwepo Katibu wake hapo!!
Unaweza kupiga picha walahu ofisini kadhaa za wabunge mkoani kwenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…