Naomba Msaada wa kufahamu bei za TV

Naomba Msaada wa kufahamu bei za TV

Mbavu za Mbwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2011
Posts
303
Reaction score
154
Wanajamii, tusaidieni watu tunaoishi huku mabonde kuinama.

Ninategemea kuja Dar kikazi hivi karibuni. Nikiwa huko ninahitaji kununua TV flat screen ya inches 32.

TV gani ni nzuri na inauzwaje? Iwe brand new, either ZEC, Samsung au brand nyingine yoyote. Pia nahitaji ushauri, wa ipi ni nzuri?

Nawasilisha
 
samsung inchi 32 lcd 550000, inchi 32 led series 4 650000, inchi 32 led series 5 750000, inchi 40 led series 5 1300000

plasma inapatikana inchi 43 1000000

chaguo ni lako
 
Mkuu hizi bei zako zinalipa sana mm nahitaji kadogo tu nchi 21 itakuwa shilingi ngapi?..
samsung inchi 32 lcd 550000, inchi 32 led series 4 650000, inchi 32 led series 5 750000, inchi 40 led series 5 1300000

plasma inapatikana inchi 43 1000000

chaguo ni lako
 
Wakuu naomba kuelimishwa na kushauriwa Nikija bongo na TV kutoka US je itafanya kazi na Television zetu especially katika issues za sytems zinazotumika..

Kwa mfano nikitaka kumpelekea ndugu yangu LCD/LED TV mambo ya system compatibility yakoje?
 
Ogah

Haina tatzo kabsa labda katika power rating maana huko wanatumia 110v sisi tunatumia 220v ila pia si tatzo maana kuna booster itapiga mzigo kama kawa,,,,
 
Last edited by a moderator:
Haina tatzo kabsa labda katika power rating maana huko wanatumia 110v sisi tunatumia 220v ila pia si tatzo maana kuna booster itapiga mzigo kama kawa,,,,

kwa hiyo hakuna shida katika mambo ya NTSC, MESECAM au PAL systems?.......
 
Led singsung ukija znz utapata kwa laki 5 nchi 32 iko poa picha clear nami nishatumia mwaka iko fit.

Yule wa usa ukija tz na hizo tv zitapiga kazi maana siku hizi mpaka utumie decoder so zitaconvert na umeme kamq auto voltage basi ni poa.
 
kwa hiyo hakuna shida katika mambo ya NTSC, MESECAM au PAL systems?.......

Sisi tunatumia muingereza kama si mjapan na huko PAL hiz system si tatzo kabsa sababu unaweza ibadili kwa remote tu hamna tatizo kabsa
 
sisi tunatumia muingereza kama si mjapan na huko PAL hiz system si tatzo kabsa sababu unaweza ibadili kwa remote tu......hamna tatizo kabsa
Unaufahamu wa kutosha au unadandia treni kwa mbele? Nafikiri ni lazima hiyo TV atakayoileta iwe multisystem
 
Acha ushamba ww tv zote ni multsystem labda alete tv ya mwaka 80 na decoder inatoa av tu ambayo ina support format nyingi
 
Unaufahamu wa kutosha au unadandia treni kwa mbele? Nafikiri ni lazima hiyo TV atakayoileta iwe multisystem

nafahamu mara elfu ya wewe unavyofahamu ndio maana nikamjibu kwa lugha nyepesi siongei kitu nisichokijua we endelea kubaki kufahamu multisystem tu ila hujui ndani ya multisystem kuna nini na tanzania tunarusha matangazo ya aina gani.....nimemjibu kwa jinsi alivyouliza maana anatambua kuna multisystem kwa sasa duniani na sidhani kama kuna tv ina PAL pekeyake au NTSC pekeyake....na nadhani hujui hata PAL na NTSC zina maana gani
 
acha ushamba ww tv zote ni multsystem labda alete tv ya mwaka 80 na decoder inatoa av tu ambayo ina support format nyingi

sidhani kama jibu langu limempotosha labda nimeingia in detail ila nimemjibu sahihi kutokana na namna alivyouliza
 
Nashukuru stany mzalendo ......kwa hiyo nikija home na TV yangu kutoka US....itapiga mzigo kama kawa.....
 
Last edited by a moderator:
nafahamu mara elfu ya wewe unavyofahamu ndio maana nikamjibu kwa lugha nyepesi siongei kitu nisichokijua we endelea kubaki kufahamu multisystem tu ila hujui ndani ya multisystem kuna nini na tanzania tunarusha matangazo ya aina gani.....nimemjibu kwa jinsi alivyouliza maana anatambua kuna multisystem kwa sasa duniani na sidhani kama kuna tv ina PAL pekeyake au NTSC pekeyake....na nadhani hujui hata PAL na NTSC zina maana gani
Sentensi refu balaa! ILa bado hujaonyesha uelewa wako. America wanatumia NTSC system na Tanzania ni PAL . Kwa hiyo TV zinazouzwa US ni NTSC compatible. Ina maana akija na TV ya NTSC atakula hasara. Na isitoshe TV za US ni 120V,hivyo ni lazima awe na step up transformer. Nafuu yake anunue TV multisystem ambayo ina NTSC, PAL na SECAM ambazo ndizo anatumia remote kubadilisha system na hizi ni 240V.
 
Sentensi refu balaa! ILa bado hujaonyesha uelewa wako. America wanatumia NTSC system na Tanzania ni PAL . Kwa hiyo TV zinazouzwa US ni NTSC compatible. Ina maana akija na TV ya NTSC atakula hasara. Na isitoshe TV za US ni 120V,hivyo ni lazima awe na step up transformer. Nafuu yake anunue TV multisystem ambayo ina NTSC, PAL na SECAM ambazo ndizo anatumia remote kubadilisha system na hizi ni 240V.

Miaka hii sidhani kama kuna TV ni NTSC ama PAL pekeake mkuu hapa kuna TV ya toka miaka ya 2002 ni multisystem, na suala la 240V hio sio tatizo
 
Sentensi refu balaa! ILa bado hujaonyesha uelewa wako. America wanatumia NTSC system na Tanzania ni PAL . Kwa hiyo TV zinazouzwa US ni NTSC compatible. Ina maana akija na TV ya NTSC atakula hasara. Na isitoshe TV za US ni 120V,hivyo ni lazima awe na step up transformer. Nafuu yake anunue TV multisystem ambayo ina NTSC, PAL na SECAM ambazo ndizo anatumia remote kubadilisha system na hizi ni 240V.

kuhusu power hakuna tatizo kwani TV zote nilizowahi nunua power ina-range from 110 to 220-240......
 
Sentensi refu balaa! ILa bado hujaonyesha uelewa wako. America wanatumia NTSC system na Tanzania ni PAL . Kwa hiyo TV zinazouzwa US ni NTSC compatible. Ina maana akija na TV ya NTSC atakula hasara. Na isitoshe TV za US ni 120V,hivyo ni lazima awe na step up transformer. Nafuu yake anunue TV multisystem ambayo ina NTSC, PAL na SECAM ambazo ndizo anatumia remote kubadilisha system na hizi ni 240V.

sawa atakua amekuelewa pia . nia ni kumuelewesha mtoa post si kubishana na mimi umejieleza vyema ila jibu la mwisho ndio sahihi
na hapo kwenye blue power range ni 110-240v
 
Back
Top Bottom