Naomba Msaada wa kufahamu bei za TV

Naomba Msaada wa kufahamu bei za TV

kwa yeyote humu anaetumia Zec led tv can it sve the purpose coz naon samsung na lg ni expensive kidogo....
 
Acha ushamba ww tv zote ni multsystem labda alete tv ya mwaka 80 na decoder inatoa av tu ambayo ina support format nyingi

Kaka tv haziko sawa, inategemea na unakoitumia. Mi naishi japan, Bidhaa zao zote ni za umeme mdogo na bei inalipa. Ukijchanganya ukaenda nayo bongo umeinguza. Huku ukitaka kitu cha overseas lazima uwaambie umeme wa kwenu
 
Acha ushamba ww tv zote ni multsystem labda alete tv ya mwaka 80 na decoder inatoa av tu ambayo ina support format nyingi
siyo kweli kwamba TV zote ni multisystems, Fanya utafiti vizuri!! Kuna TV nyingi tuu hapa hazina PAL/SECAM .
 
Tatizo la flat nyingi zinakata picha. yani picha haikai kwenye screen vilivyo, mpaka uanze tena kuangaika kuseti.
 
samsung inchi 32 lcd 550000, inchi 32 led series 4 650000, inchi 32 led series 5 750000, inchi 40 led series 5 1300000

plasma inapatikana inchi 43 1000000

chaguo ni lako

Naweza pata LED SMART TV YA INCH 22 NA NI BEI GANI?
 
Samsung Smart Tv LED 3D '55 kiasi gani dukani now?
 
Hilo siyo tatizo la flat, picha nyingi zilitengenezwa kwa ajiri ya screen 3:4 na format ya flat screen 16:9 TV yangu haikati picha kabisa.

True, yangu ina auto wide ikija format yeyote ina isize na inaonekana murua kabisaaa
 
Back
Top Bottom