Mimi ni RAIA mwema kabisa kutoka Tanzania-Kigoma,so ningependa kwa wataalam wanifahamishe bei ya vitu vifuatavyo na eneo vilipo.
1)Engine ya Toyo yenye 200cc na shaft yake.
2.Tairi za pikipiki
3)Injini ya BOXER.
4.Transmission ingine ya gari ndogo.
HITIMISHO
Kama kutakuwa na kapicha hapo ningefurahi zaidi. Aksanteni
1)Engine ya Toyo yenye 200cc na shaft yake.
2.Tairi za pikipiki
3)Injini ya BOXER.
4.Transmission ingine ya gari ndogo.
HITIMISHO
Kama kutakuwa na kapicha hapo ningefurahi zaidi. Aksanteni