Msaada bei ya hivi vifaa vya ujenzi

Jozen

Member
Dec 22, 2016
42
66
Habari wadau kwema? been a while nimekua msomaji tu humu ila leo nimeona nitafute msaada wa kiuzoefu huko nyumbani

Currently naishi mbali na Tanzania na nilikua najaribu kufanya overview ya bei za vifaa kwa sasa maana karibu nije kumaliza kakibanda kangu ka kuunga unga na sasa hizi bei zilivyo chachamaa ndio balaa tupu.

Please kwa mwenye uzoefu kwa bei za vitu vifuatavyo anaweza share.

1. Nondo 12mm per piece
2. Kokoto nyeusi kwenye Ile tipa wanaita mende
3. Zile paving blocks(solid)
4.Mchanga wa plasta tipa (mende)
5. Bei ya PVC kwa sasa
6.Tanga stone

Tujikusanye tukamalize haka kakibanda tukijua uhalisia wa materials.

Ni hayo tu ahsanteni.
20211220_142504.jpg
20211220_142324.jpg
 
Mpaka hapo ilipofikia haujui bei halisi ya nondo, kokoto na mchanga....
 
Mkandarasi sio rafiki niseme kila kitu ni ndio ndio lazima ujilidhishe hasa kama unaishi mbali na Tanzania
Sawa lakini na mtoa mada mawenge, bei zinatofautiana na eneo mtu aliopo. La pili kwanini asiende dukani kuuliza ambapo ni karibu na eneo analojenga wakati maduka yamejaa?
 
Sawa lakini na mtoa mada mawenge, bei zinatofautiana na eneo mtu aliopo. La pili kwanini asiende dukani kuuliza ambapo ni karibu na eneo analojenga wakati maduka yamejaa?
Mtoa Mada sio mawenge mtoa Mada ameuliza akarudia kusema anaish mbali na nchi Kuna shida?
 
Habari wadau kwema? been a while nimekua msomaji tu humu ila leo nimeona nitafute msaada wa kiuzoefu huko nyumbani

Currently naishi mbali na Tanzania na nilikua najaribu kufanya overview ya bei za vifaa kwa sasa maana karibu nije kumaliza kakibanda kangu ka kuunga unga na sasa hizi bei zilivyo chachamaa ndio balaa tupu.

Please kwa mwenye uzoefu kwa bei za vitu vifuatavyo anaweza share.

1. Nondo 12mm per piece
2. Kokoto nyeusi kwenye Ile tipa wanaita mende
3. Zile paving blocks(solid)
4.Mchanga wa plasta tipa (mende)
5. Bei ya PVC kwa sasa
6.Tanga stone

Tujikusanye tukamalize haka kakibanda tukijua uhalisia wa materials.

Ni hayo tu ahsanteni.
View attachment 2200369View attachment 2200376
Kwani hayo material uliojengea mwanzo ulinunua kwa nani? Kwa nini usimuulize kuwa sasa hivi anauza kwa bei gani
 
Kwani hayo material uliojengea mwanzo ulinunua kwa nani? Kwa nini usimuulize kuwa sasa hivi anauza kwa bei gani
Tatizo ujuaji mwingi sana humu, when one ask Kuna reason behind. Issue ilikua simple tu kuignore au kujibu swali.
Unafikiri siku Consider kutick all the boxes kabla sijauliza.

Fatilia vizuri uzi usikurupuke bwana mdogo
 
  • Thanks
Reactions: apk
Habari wadau kwema? been a while nimekua msomaji tu humu ila leo nimeona nitafute msaada wa kiuzoefu huko nyumbani

Currently naishi mbali na Tanzania na nilikua najaribu kufanya overview ya bei za vifaa kwa sasa maana karibu nije kumaliza kakibanda kangu ka kuunga unga na sasa hizi bei zilivyo chachamaa ndio balaa tupu.

Please kwa mwenye uzoefu kwa bei za vitu vifuatavyo anaweza share.

1. Nondo 12mm per piece
2. Kokoto nyeusi kwenye Ile tipa wanaita mende
3. Zile paving blocks(solid)
4.Mchanga wa plasta tipa (mende)
5. Bei ya PVC kwa sasa
6.Tanga stone

Tujikusanye tukamalize haka kakibanda tukijua uhalisia wa materials.

Ni hayo tu ahsanteni.
View attachment 2200369View attachment 2200376
1. Nondo 12mm@ 24,000
2. Kokoto 100,000/m³ hadi 110,000 imepanda wiki hii(ilikua 90,00/m³
3. Paving 22,000 zile za kutengenezwa kwa mashine.
4. Mchanga 300,000 hadi 350,000 inategemea maeneo
5. Pvc 200,000m²
6. Tanga stone inaanzia 28,000 mpaka 35,000( bei inategemea quality)
In case kwa kingine nicheki 0752662663
 
1. Nondo 12mm@ 24,000
2. Kokoto 100,000/m³ hadi 110,000 imepanda wiki hii(ilikua 90,00/m³
3. Paving 22,000 zile za kutengenezwa kwa mashine.
4. Mchanga 300,000 hadi 350,000 inategemea maeneo
5. Pvc 200,000m²
6. Tanga stone inaanzia 28,000 mpaka 35,000( bei inategemea quality)
In case kwa kingine nicheki 0752662663
Nakutafuta kesho mapema
 
Hivi watu sijui wanashida gani ,mtoa mada kauliza swali vizuri tu..ila hizo comment ndo balaa.we all know bei imepanda sana.
 
Back
Top Bottom