Jozen
Member
- Dec 22, 2016
- 42
- 66
Habari wadau kwema? been a while nimekua msomaji tu humu ila leo nimeona nitafute msaada wa kiuzoefu huko nyumbani
Currently naishi mbali na Tanzania na nilikua najaribu kufanya overview ya bei za vifaa kwa sasa maana karibu nije kumaliza kakibanda kangu ka kuunga unga na sasa hizi bei zilivyo chachamaa ndio balaa tupu.
Please kwa mwenye uzoefu kwa bei za vitu vifuatavyo anaweza share.
1. Nondo 12mm per piece
2. Kokoto nyeusi kwenye Ile tipa wanaita mende
3. Zile paving blocks(solid)
4.Mchanga wa plasta tipa (mende)
5. Bei ya PVC kwa sasa
6.Tanga stone
Tujikusanye tukamalize haka kakibanda tukijua uhalisia wa materials.
Ni hayo tu ahsanteni.
Currently naishi mbali na Tanzania na nilikua najaribu kufanya overview ya bei za vifaa kwa sasa maana karibu nije kumaliza kakibanda kangu ka kuunga unga na sasa hizi bei zilivyo chachamaa ndio balaa tupu.
Please kwa mwenye uzoefu kwa bei za vitu vifuatavyo anaweza share.
1. Nondo 12mm per piece
2. Kokoto nyeusi kwenye Ile tipa wanaita mende
3. Zile paving blocks(solid)
4.Mchanga wa plasta tipa (mende)
5. Bei ya PVC kwa sasa
6.Tanga stone
Tujikusanye tukamalize haka kakibanda tukijua uhalisia wa materials.
Ni hayo tu ahsanteni.