Smartbrain
Senior Member
- Mar 23, 2013
- 184
- 35
Habari zenu wadau? Ninatumia huwei y530 nikai root kwa kutumia toweroot nilifanikiwa lakin internal storage ili corrupt kwahiyo nikawa siwez ku access intenal storage.
Nikaona bora ni fully unroot ili kuirudisha simu kwenye hali yake ya mwanzo.
Sasa naomba kama kuna mtu ameshawai ku root y530 ipo 100% working anisaidie alifanyeje.
Nikaona bora ni fully unroot ili kuirudisha simu kwenye hali yake ya mwanzo.
Sasa naomba kama kuna mtu ameshawai ku root y530 ipo 100% working anisaidie alifanyeje.