Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Habari Zenu wandugu! Nina kijana wangu ni rafiki yangu sana! Amekumbwa na dalili zifuatazo.
1. Anaumwa na kichwa sana.
2. Anapoteza kumbukumbu.
3. Highly attract negative thoughts.
4. Anasikia ngumu kufanya maamuzi madogo tu.
5. Anashindwa kuongea kwa kunyoosha sentensi.
6. Anakosa usingizi.
Naomba msaada wa kitabibu na kunijuza mtaalamu anaeshugulika na magonjwa ya akili.
1. Anaumwa na kichwa sana.
2. Anapoteza kumbukumbu.
3. Highly attract negative thoughts.
4. Anasikia ngumu kufanya maamuzi madogo tu.
5. Anashindwa kuongea kwa kunyoosha sentensi.
6. Anakosa usingizi.
Naomba msaada wa kitabibu na kunijuza mtaalamu anaeshugulika na magonjwa ya akili.