Mimi nimeona kama vile ni stori tu umeipata kwa mtu kama ni kweli basi nakupongeza kusema ukweli maana ingawa wengine watajifanya wahubiri na wao wamo humohumo. ushauri wangu wewe yapime mweyewe roho itakachopenda ni hicho hicho maana mwili na roho mara nying havipatani katika kutamani na kupenda. kimoja kinapenda kingine kinatamani hapo ndo mvutanao unaanza!
hakuna cha wanaume kwani hujamsoma huyo aliyezini naye ni mwasherati tu si naye kamtenda mkewe pata shika wote moto utawawakiaHapa hakuna msaada, tumsubirie nyani ngabu aje amuwekee mume wako ile clip ya "babu jinga" alomwekea bishanga.
Wanawake bana! mi ndo maana waifu akinambia I love u nakuwa naguna tu.Lakini Mungu atatulipia wanaume
Hapa hakuna msaada, tumsubirie nyani ngabu aje amuwekee mume wako ile clip ya "babu jinga" alomwekea bishanga.
Wanawake bana! mi ndo maana waifu akinambia I love u nakuwa naguna tu.Lakini Mungu atatulipia wanaume
Njuka ndo nin mkuu?Pole na hongera sana Kongosho,
Play it safe....
Bahati nzuri, mtu habaki njuka milele!
Babu DC!!
We babu,konnie unampa hongera ya nini?Pole na hongera sana Kongosho,
Play it safe....
Bahati nzuri, mtu habaki njuka milele!
Babu DC!!