Naomba msaada wa daktari

Bandabichi

JF-Expert Member
Jun 3, 2012
230
42
Habarini za jioni.
Naomba msaada, rafiki yangu wakati wa hedhi anableed kidogo sana na ni kwa muda wa siku mbili tu.

Tukila chakula cha bwana anatokwa na damu, wakati anakuwa katoka hedhi zaidi siku kumi.

Je tatizo ni nini jamani wataalamu?
 
Dakitali unataka wa chienyeji ama wanchizungu?
Huyo atakuwa na tatizo ambalo linaathiri hormones zake. Anahitaji kuonana na daktari bingwa wa wanawake. Ataandikiwa kipimo cha damu kuangalia hormones zake na kupigwa picha ya kizazi kuangalia kama ana uvimbe. Hivyo vikiwa sawa daktari ataamua test gani nyingine ya kufanya (anaweza kufanyiwa pap smear pia kuangalia kama kuna tatizo lingine)

Pole sana. MziziMkavu akija atakupa prescription ingine.
 
Last edited by a moderator:
Dakitali unataka wa chienyeji ama wanchizungu?
Huyo atakuwa na tatizo ambalo linaathiri hormones zake. Anahitaji kuonana na daktari bingwa wa wanawake. Ataandikiwa kipimo cha damu kuangalia hormones zake na kupigwa picha ya kizazi kuangalia kama ana uvimbe. Hivyo vikiwa sawa daktari ataamua test gani nyingine ya kufanya (anaweza kufanyiwa pap smear pia kuangalia kama kuna tatizo lingine)

Pole sana. MziziMkavu akija atakupa prescription ingine.


Aksante sana kwa ufafanuzi wako mzuri, ngoja nimsubili na MziziMkavu ijapokuwa huo huwa hauchimbwi dawa.
 
habarini za jioni.
naomba msaada, rafiki yangu wakati wa hethi anableed kidogo sana na ni kwa muda wa siku mbili tu.
na tukila chakula cha bwana anatokwa na damu, wakati anakuwa katoka hedhi zaidi siku kumi. je tatizo ni nini jamani wataalamu.
Fafanuwa hapo Ni nini (Chakula cha Bwana)? Kama ndio hivyo bora musile hicho chakula cha bwana Bandabichi au unataka awe anatoka Hedhi siku ngapi wewe?

Dakitali unataka wa chienyeji ama wanchizungu?
Huyo atakuwa na tatizo ambalo linaathiri hormones zake. Anahitaji kuonana na daktari bingwa wa wanawake. Ataandikiwa kipimo cha damu kuangalia hormones zake na kupigwa picha ya kizazi kuangalia kama ana uvimbe. Hivyo vikiwa sawa daktari ataamua test gani nyingine ya kufanya (anaweza kufanyiwa pap smear pia kuangalia kama kuna tatizo lingine)

Pole sana. MziziMkavu akija atakupa prescription ingine.
Mkuu King'asti umemjibu Vizuri sana asante
 
Last edited by a moderator:
BIASHARA YA MTANDAO NI NINI
ni mfumo wa biashara ya karne ya 21 ambayo inakupa fursa ya kumiliki biashara yako mwenyewe kwa mtaji kidogo na bla kuathili shughuli zako zngne, na hatimaye kujitengenezea kipato endelevu pasipo kutumia nguvu,mda na akili nyingi sana.

RIFARO AFRICA LTD
wao wana sema "SIMU YAKO JEMBE LAKO"
1. Je, umewahi kulipwa kwa matumizi yako ya vocha?
2. Je ,unajua kuwa vocha ni bidha inayoweza kukupa kipato kikubwa cha ziada?

Rifaro Africa ltd ni kampuni ya kitanzania inayofanya biashara ya mtandao kupitia mda wa maongezi(vocha) kwa kushirikiana na makampuni ya TIGO,VODACOM,AIRTEL NA ZANTEL

UHALALI WAKE,
leseni no.178933
Tin no.124-401-917
Brela reg.no 109753
Tcra no.15420

INAFANYEJE KAZI

1.Mfumo huu utakuhitaji kuwa mwanachama hai WA Rifaro, mtumiaji WA vocha NA pia kuwashirikisha ndg,jamaa,na MARAFIKI kujiunga kwenye biashara hii.

UNAFAIDIKAJE
1.kipato cha wiki
Hiki kinalipwa kutokana NA watu wanaojiunga katika timu ya biashara yako kulipwa kwa vizazi 15.

2.kipato cha mwezi
Hiki hulipwa kutokana na matumizi yako ya mda wa maongezi pamoja NA matumizi ya timu yako. Malipo hufanyika kila mwisho WA mwezi.mwanachama anatakiwa awe ametumia Tsh.15000/=

3.UNACHOTAKIWA KUFANYA
Ni kuiona fursa NA kukubali kuwa ni yako,kisha uwe NA mtaji kidogo sana WA Tsh.128500/= kuanza biashara Hii maridhawa

4. UTAKAPO JIUNGA UTAPEWA
a. Namba ya uanachama
b. ATM card (2000/=Salio ndani take)
c. Kitabu cha biashara
d.website( kukuwezesha kuingia kwenye ofisi yako,kuna biashara yako yote)
e.DVD ya mafunzo
f.5000/= Salio vocha
Vyote hivyo hutolewa bure kabisa Mara baada ya kujiunga.

SASA UTAJIUNGAJE?

Popote ulipo Tanzania tumekufikia, tuna vituo vyetu karibu nchi nzima

Unachotakiwa ni Tsh.128500/=,kitambulisho chako, simu yako ya mkononi(yoyote) namba yangu ya uanachama ni OBADIA LUYAGAZA -R528559

WASILIANA NAMI KUPITIA
obadialuyagaza@gmail.com
0657774409
0753416810
Wakati wowote.
 
Back
Top Bottom