Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
Habarini za jioni.
Naomba msaada, rafiki yangu wakati wa hedhi anableed kidogo sana na ni kwa muda wa siku mbili tu.
Tukila chakula cha bwana anatokwa na damu, wakati anakuwa katoka hedhi zaidi siku kumi.
Je tatizo ni nini jamani wataalamu?
Naomba msaada, rafiki yangu wakati wa hedhi anableed kidogo sana na ni kwa muda wa siku mbili tu.
Tukila chakula cha bwana anatokwa na damu, wakati anakuwa katoka hedhi zaidi siku kumi.
Je tatizo ni nini jamani wataalamu?