mchina hafaiduhh......! yaan mkasa huo ndio ulionipata na mm nna hyo hyo tecno P3 nime download whatapp tu inaniambia insuficient space acha waje wajanja vl zaid watuelekeze
P3 tecno internal memory ni ndogo na haina uwezo waku install sd card
Kwa ushauri tecno bado sana uki compare na smartphone zingine
Tatizo unatumia internal memory kuhifazi kila ktu badili main storage iwe sd card zen vitu vilivyo katika internal memory viamishie kwenye sd card mfn picha na nyimbo zen utakuwa na nafasi yakutosha kuweka application zako
Unaponunua cm kwa ajili ya kutumia internet,sifa kuu ya kwanza ni internal memory,angalia iwe angalau na 2gb. Hizo techno p3 hata ukiweka SD card ya GB 16 haikusadii mkuu. Pole sanaNimejaribu kuweka mpya bado inafanya hivohivo
Unaponunua cm kwa ajili ya kutumia internet,sifa kuu ya kwanza ni internal memory,angalia iwe angalau na 2gb. Hizo techno p3 hata ukiweka SD card ya GB 16 haikusadii mkuu. Pole sana