youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,254
- 2,909
Habari wanaJF wote,
Nina umri wa miaka 19 npo kidato cha tano. Nipo hapa kuomba ushauri na msaada kuhusu tatizo langu la kusinzia darasani hasa mwalimu anapokua anafundisha, hasa mida ya mchana hivi ghafla usingizi mzito unanishika na hua siwez kujizuia mpaka mwalimu au rafiki yangu anishitue, hata hivyo tatizo la usingizi huendelea kunikumba........
Je ni tatizo la kiafya? Au ni nini chanzo chake japo usiku hua nalala muda wa kutosha tu... Msaada tafadhal mana hii hali nimeichoka na siihitaji iendelee kunitesa Mana mwisho wa kipindi usingizi huisha na hua naamulia patupu kwa kile mwl alichofundisha.
mhh hiyo sura hiyo kwanini usisinzie