Laptop yangu ya Toshiba satellite kwa wiki mbili sasa imekua slow sana kufungua webpage nayotaka nami sio mtaalamu wa mambo haya sijui mnanishauri nifanye nini? Haikuwa hivi mwanzo nipo Uhuruone wifi ambayo speed na signal strength yake ni nzuri.
Kwakuwa huna utaalam na masuala haya nashindwa kukusaidia maana kila ntakalokuuliza utaliona limeandikwa kiufundi zaidi... Nilitaka kujua unatumia antivirus gani, unafanya cleanup ya pc yako (virus & memory) kila baada ya muda gani?
Internet una-browse kwa kutumia browser gani? Kilicho slow ni pc au internet connection? Very sorry, mengine nashindwa kukuuliza
Kwa kuongeza Je umekuwapo na hiyo laptop kwa muda gani? tunaposubiria majibu nenda kwanye webpage click Tools -> Internet Options ->Select General Tab then under Browsing History click delete button halafu angalia kama kutakuwa na mabadiriko yoyote. Hii process ipo valid kama unatumia Windows Internet Explorer. Kwa browser zingine tofauti itakuwapo lakini si vile.
Mkuu Ha ha hiyo naona imejaa zile picha zetu kwi kwi...Just kidding!.Laptop yangu ya Toshiba satellite kwa wiki mbili sasa imekua slow sana kufungua webpage nayotaka nami sio mtaalamu wa mambo haya sijui mnanishauri nifanye nini? Haikuwa hivi mwanzo nipo Uhuruone wifi ambayo speed na signal strength yake ni nzuri.
Hapo kwenye bold unaongelea windows 3.1?Kama utakuwa jasiri, ACHANA NA WINDOWS, tumia Ubuntu. Niko tayari kukuwekea hiyo Operating System, kwani inatolewa Bure (huna haja ya kutafuta pirated keys), na daima hutapata matatizo ya virus, spyware au trojans! Ni very stable, haisumbui, na utapata shida ku-crash na kupoteza data zako. Kama ni browsing, inakuja na Mozilla Firefox na software nyingine kibao. Kwa upande wa speed, ni kiboko. Laptop yako ita-boot at least 400% faster kuliko Windows. Software zote unatakazohitaji zinapatikana online. Kwa mfano, OpenOfficeORG ambayo ndiyo Office Suite, iliyotengenezwa na Sun Microsystems, inatolewa bure, na imewekwa tayari kwenye DISTRIBUTION (soma DISTRO) ya Ubuntu. Unaweza kuandika files zako, ukasave kwenye .DOC format, na mtu anayetumia MS Office akazisoma pia. Hata .XLS files, na presentation (inaitwa IMPRESS) ni nzuri ZAIDI kuliko PowerPoint.
Nitumie PM tuwasiliane.
./Mwana wa Haki
unamshauri mtu apachike Ubuntu kama hata ku install ni mpaka mkutane umuwekea, ina maana itamsumbua. ..unless, obviously, unataka kum-kula, wakati kitu yenyewe mwenyewe umesema ya bure... tuwasiliane?... tumia Ubuntu. Niko tayari kukuwekea hiyo Operating System, kwani inatolewa Bure...
Nitumie PM tuwasiliane.
Akijaribu ku browse ngoma inafunguka slow, yeye atajuaje whether ni computer au browser?Kilicho slow ni pc au internet connection? Very sorry, mengine nashindwa kukuuliza
Laptop yangu ya Toshiba satellite kwa wiki mbili sasa imekua slow sana kufungua webpage nayotaka nami sio mtaalamu wa mambo haya sijui mnanishauri nifanye nini? Haikuwa hivi mwanzo nipo Uhuruone wifi ambayo speed na signal strength yake ni nzuri.