Wa tz wenzangu naomba mwenye kuweza kuwa au kupata sheria za mikataba kwa tanzania animwagie copy hapa ninashida nayo sana. Ndugu nisaidie kwani muda si mrefu haki yangu nitanyanganywa. Nataka niichimbe na kuielewa vizuri. Shukrani mbeleeeeeeeeeeeeeee.
Mikataba ya ajira.