rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,121
- 1,294
1. Nina simu Samsung s6 plus hua inatabia ya kujizima tu, unaweza weka mfukoni ukitoa unakuta imeshazima sijajua kwanini inafanya hivyo.
2.Nina laptop HP button 3 hazifanyi kazi je itakuwa vumbi au key zimekufa.
Naitaji msaada wenu
2.Nina laptop HP button 3 hazifanyi kazi je itakuwa vumbi au key zimekufa.
Naitaji msaada wenu