Naomba msaada kwenye suala hili la passport

Naomba msaada kwenye suala hili la passport

Fika ofisi za uhamiaji baada ya kujaza fomu ya maombi ya passport ya kusafiria kwenye tovitu yao...



Cc: mahondaw
 
Write your reply...
Thibitisho nyingine inakua shida mana maombi yenyewe ya safari yanahitaji uwe na paspot tayari, me nilitafuta mdau raia wa kenya akanialika kwenye sikukuu kwa barua akaambatanisha na kitambulisho chake nikawapa uhamiaji
 
Zipo kama huna
Ushahidi wa shughuli unayoemda kufanya
cheti cha kuzaliwa kama huna katafute
Kitambulisho cha NIDA/namba ya kitambulisho katafute
Cheti/Kiapo cha Kuzaliwa Mzazi wa Mwombaji kama huna katafute
Picha yako iwe na background ya blue mpauko kama huna katafue
Kama unavyo hivyo vyote na kuna pesa inakuwasha tafuta watoto yatima kawanunulie unga na mchele wakuombee uzidi kufanikiwa
wazazi wore wamefariki hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa,!!!!
 
Zipo kama huna
Ushahidi wa shughuli unayoemda kufanya
cheti cha kuzaliwa kama huna katafute
Kitambulisho cha NIDA/namba ya kitambulisho katafute
Cheti/Kiapo cha Kuzaliwa Mzazi wa Mwombaji kama huna katafute
Picha yako iwe na background ya blue mpauko kama huna katafue
Kama unavyo hivyo vyote na kuna pesa inakuwasha tafuta watoto yatima kawanunulie unga na mchele wakuombee uzidi kufanikiwa
wazazi wore wamefariki hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa,!!!!
 
Habari ndugu zang, ninaomba msaada kujua Bei ya kupata passport na piaa process za kuipata znakuaje
 
Tz bado sana yaani kusafiri ni kama kosa la jinai!
Passport ni haki ya kimsingi kila mtu kuwa nayo
Kuna nchi nyingi ni Viza free kwa wa tz mfano Malaysia...kipengele cha kuulizia viza ni dhaifu koz hata nikisafiri bila viza wao kule watanirudisha,shida iko wapi?
Urasimu uondoke kwenye hati za kusafiria jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom