Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,336
- 71,163
Yangu niliipata kwa mbinde sitosahau nilipiga sana round pale mpaka leo nikisikia kale kamsemo kwamba ni haki ya kila mtanzania nabaki tu nashangaaSiku Naipata Nilitembea mkono Mfukoni Isije Kuyeyuka Maana Adi Naipata Ni Balaaa