Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,321
- 71,089
Kwa kweli hili suala la passport liangaliwe mara mbili, wanatuambia ni haki ya kila mtanzania kuwa na passport lakini kiuhalisia haipo hivyo yani passport bila safari kupata ni ngumu sana na hata ukiwa na hiyo safari mpaka uje uipate ni kwa mbinde sana vilevile!!