Ndugu zangu niliomba nafasi za kazi hapa kwa position ya Accountant then nimeitwa kwenye usahili then Mimi nipo Iringa sasa kwa watu wa Moshi mnaifahamu hii Radio Station mazingira yake.
Kama umesomea journalism na wewe ukiwa na experience huwezi kuulizia Mazingira ya media naamini unajua changamoto zake kinagaubaga! Kujitolea pasipo na ukomo + hakuna posho ya usafir
Tegemea press conference ili uweze kujikwamua! Sasa wewe kama hupendi kwenda field Mzee kaz ya redio itakuwa ngumu kwako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.