Naomba msaada kwa wana JF

Naomba msaada kwa wana JF

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Asalamu Alaikum

Jamani wana Jf mwenzenu ni mgeni kidogo wa jiji hili la Dar nimekuja kwa ajili ya msiba na nataka nikimaliza msiba niende Tanga kuangalia fursa za Biashara.

Naomba mwenyeji wa Tanga aliopo tanga ili anipe sapoti na muongozo kwa jiji hilo kwani sijawahipo kufika.

Anaehisi yuko tayari kunisaidia basi PM namba yako nikupigie kwa ajili ya kupanga safari ya kuja huko

Natanguliza shukrana kwenu nyote.
 
Karibu tanga, kama ni mwanaume ntashindwa kukusaidia lakin kama no mwanamuke karibu my dear
 
Mie bado sipati picha kua kusaidiana JF kunalinganishana na jinsia huuu ni upotevu wala mi sihitaji kulala kwa mtu ama kuchangiwa kula basi hata kutoa maelekezo katika simu inahitaji jinsia sisi sote ni wanadamu Ukarimu wa watu wa Tanga sasa umeshatoweka watu wa pwani hawako jivyo hata hivyo
 
Vijana siku hizi tunapenda miteremko kweli,we kama mfanya biashara unashindwaje kuweka bajet ya malazi mkuu
 
Vijana siku hizi tunapenda miteremko kweli,we kama mfanya biashara unashindwaje kuweka bajet ya malazi mkuu
Kaka mi ni ugeni tuuu bajeti yangu iko vzr sihitaji msaada wa mtu kwa pesa malaji wala malazi mi ni muongozo tuuu.
Anielekeze hoteli ya kulala na aniongoze kufika katika mji wa Tanga tuuu hata kama akifuatana na mimi kunisindikiza kula na nauli vinywaji basi ni juuu yangu ila kinyaji chenyewe isiwe Pombe pombe sitomnunulia
 
Back
Top Bottom