Umenikumbusha mbali sana,kuna shemeji yangu aliingia mitini na hela kama wewe pile sana.Nenda police kama una namba yake watamjua yuko wapi!Maelezo zaidi nenda huko.Habari nzenu ndugu .
Natumaini hamjambo na mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku bila shaka naleta hili jf ili mnisaidie naamini hapa jf hakishindikani kitu.
Mwaka juzi kuna rafiki yangu tu tuliingia nae mkataba wa maswala ya kusuply mzigo ( siri ila wa halali) wenye gharama 1.5 mil. Yule jamaa tulifanya nae kazi kwa uaminifu kwa muda wa kama miaka miwili hivi sasa sijui ilikuwa aje siku ya kumpa hela huyu jamaa ndo ikawa ndo ntolee mazima kwakweli aliniacha katika wakati mgumu sanaa ikizimgatia kuwa mzigo huu ulikuwa wa kampuni ninayoifanyia kazi .
Basi baada ya kumtafuta kwa muda mrefu takribani mwaka mzima na nikietembea na RB zijampata yani anatoka eneo moja kwenda eneo jingine yani hatulii kwakweli nikaamua kukopa kwenye taasisi flani nikalipa deni kwani ofisi imishaanza kunitilia shaka kwakweli taasisi ile ina riba kubwa ila ikanibidi deni ambalo nalilipa hadi sasa .
Kesi nilishafungua
RB ninayo .
Mikataba yote ninayo .
Huyu jamaa mara moja moja simu yake ukipiga inaita ila hapokei na hata akipokea anajifanya kama umekosea namba yanii mchezo ndio huo .
Kwa helufi kubwa .NAOMBA MNISASIDIE HUYU JAMA NIWEZE KUMPATA KANITESA SANAA NAOMBA KUWAKILISHA.
Hivi sikukuambia? Enzi kakola kumelipuka...bas nikamwachia kifusi geita mie huyo kakola....siku nampgia tutafte mteja tuuze aje huku akasemapoa..yaan kauza asbh saa11 gar zinasomba...sijui nisemeje...pesa ilitutoka balaa na tusimkamate...later ndugu wakaanza nitisha..oh ni very risk anaweza nunua bastola naye akakuwinda...yaan ni ndugu kbs ..nimeamua kutulia tu ila ntamshika...niliwaza had huko ujue...Duh!alikupiga kweli 19m
Siku nyingine ikitokea hali kama hiyo
Kuna mbinu nyingi za kuwakomoa watu
Kama hao,unamfanyia umafia tu then unamchoma kwa wazee,pesa itamtoka
Ova
Huwajui polisi wewe wa kitzUmenikumbusha mbali sana,kuna shemeji yangu aliingia mitini na hela kama wewe pile sana.Nenda police kama una namba yake watamjua yuko wapi!Maelezo zaidi nenda huko.
Kitafute kitu anachokipenda utampata kwa kutumia mtu,mfano kama anapenda kwenda nje!au biashara ya madini,kufunga nk ,utakamata kama kuku wa kideri!Be serious mzee pesa inauma sana hasa kipindi hiki cha mama .
Duh!tatizo ndugu kuingiliaHivi sikukuambia? Enzi kakola kumelipuka...bas nikamwachia kifusi geita mie huyo kakola....siku nampgia tutafte mteja tuuze aje huku akasemapoa..yaan kauza asbh saa11 gar zinasomba...sijui nisemeje...pesa ilitutoka balaa na tusimkamate...later ndugu wakaanza nitisha..oh ni very risk anaweza nunua bastola naye akakuwinda...yaan ni ndugu kbs ..nimeamua kutulia tu ila ntamshika...niliwaza had huko ujue...
Inaniumaga balaa ..! Inaniuma mno...wakaketa mambo ya mimi kulogwa..nikasema logeni tu...inakera....ila jamaa naskia yuko katoro tu hapoDuh!tatizo ndugu kuingilia
Mambo ya ndugu tena
Lazima upoteze haki yako
Ila mm nisingekubali
Acha undugu ufe tu
Ova
Aise!ukishirikisha ndg mara nyingi hesabu kuumiaInaniumaga balaa ..! Inaniuma mno...wakaketa mambo ya mimi kulogwa..nikasema logeni tu...inakera....ila jamaa naskia yuko katoro tu hapo
Mie nipe mbinu ya kumshika mwenyewe...yaan naskia an duka la hardware...hahaaAise!ukishirikisha ndg mara nyingi hesabu kuumia
Ova
Ntakupa mbinu whtsapMie nipe mbinu ya kumshika mwenyewe...yaan naskia an duka la hardware...hahaa
Pls helpNtakupa mbinu whtsap
Ila jifanye kama ushampotezea
Hzo hela kma anazo ndy ataxitumia
Kumalizia soo,asijue tu
Ova
Mimi ni raia mwema tu mkuukuna jamaa anaitwa Infantry Soldier atakuja kukupa mbinu za kivita jinsi ya kumdaka huyu
Hivi sikukuambia? Enzi kakola kumelipuka...bas nikamwachia kifusi geita mie huyo kakola....siku nampgia tutafte mteja tuuze aje huku akasemapoa..yaan kauza asbh saa11 gar zinasomba...sijui nisemeje...pesa ilitutoka balaa na tusimkamate...later ndugu wakaanza nitisha..oh ni very risk anaweza nunua bastola naye akakuwinda...yaan ni ndugu kbs ..nimeamua kutulia tu ila ntamshika...niliwaza had huko ujue...
Mie nipe mbinu ya kumshika mwenyewe...yaan naskia an duka la hardware...hahaa
Sio kweli amtafute amfunze adabu ndo aendelee na maisha yakeHuyo mtu achana nae. fanya maisha yako. kinaweza kukukuta kitu kibaya ukapoteza hata kidogo ulicho nacho. if u managed to move on just continue
Maisha ni zaid ya hiy 19m
Yaani ndugu wote wanasema hilo neno..ila ndo maan umaskini unatuandqma...kwanini unasema hivyo?Huyo mtu achana nae. fanya maisha yako. kinaweza kukukuta kitu kibaya ukapoteza hata kidogo ulicho nacho. if u managed to move on just continue
Maisha ni zaid ya hiy 19m