kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 534
- 323
Habari za muda huu wakuu? Samahani naomba msaada kuhusu Calculator ya TRA, ninataka kuagiza gari sasa nimejaribu kukokotoa naona gharama inakuwa kubwa sana sasa nilitaka kujua kuhusu gharama za kikokotoo zinakuwa zimeunganishwa na bei ya gari?